Habarini wadau wa JF,je mmewahi kusikia kuhusu Matoponi network?
Hii ni kampuni imeanzishwa hapa Arusha,wanavyodai waanzilishi ni kwamba ukitaka kujiunga u have to buy a form kwa shs 5000,then in that form u will find three people,wa kwanza atakua step 1,namwingine step 2,na watatu atakua step 3,baada ya kupata hiyo form utakwenda bank na kumwekea pesa aliyepo top position (step 1) utamwekea shs 20000 na 20000 nyingine utaweka katika account ya hao Matoponi network,then utatengenezewa form zako tano nawe itabidi utafute watu wengine watano ili uwauzie na wakaweke pesa kwenye account za watu ambao wamewakuta wako top position kwa madai yao ukifanikiwa kuuza form zote utapata shs 2,500,000,sijaelewa kuhusu haka kamchezo
naomba mwenye data atuwekee tupate kuelewa zaidi.
Hii ni kampuni imeanzishwa hapa Arusha,wanavyodai waanzilishi ni kwamba ukitaka kujiunga u have to buy a form kwa shs 5000,then in that form u will find three people,wa kwanza atakua step 1,namwingine step 2,na watatu atakua step 3,baada ya kupata hiyo form utakwenda bank na kumwekea pesa aliyepo top position (step 1) utamwekea shs 20000 na 20000 nyingine utaweka katika account ya hao Matoponi network,then utatengenezewa form zako tano nawe itabidi utafute watu wengine watano ili uwauzie na wakaweke pesa kwenye account za watu ambao wamewakuta wako top position kwa madai yao ukifanikiwa kuuza form zote utapata shs 2,500,000,sijaelewa kuhusu haka kamchezo
naomba mwenye data atuwekee tupate kuelewa zaidi.