Saidama
JF-Expert Member
- Jun 10, 2022
- 500
- 944
Kuna vitu mpaka kufkia utu uzima wangu huu nimeshaviona ila sijawai kujua maana yake. Bila kupoteza muda;
Cha kwanza ni hii ya wauza maduka kutokuuza sindano majira ya usiku. Hii niliithibitisha mimi kwenyewe siku moja. Nilitoka usiku kwenda dukani kununua sindano, nikaenda duka la kwanza(kwa MUHA) akaniambia hana sindano, nikaenda maduka mengine mawili(kwa MSUKUMA na MCHAGA) majibu yakawa yale yale hamna sindano.
Sasa wakati narudi hom nikawa nimeongozana na bro mmoja napiga nae stori. Katika stori stori nikamwambia "mi nilikua nimeingia shop apo kununua sindano nimekosa, nimeona nirudi hom tu". Uyo bro ndo akaniambia "sindano haziuzwagi usiku" ila hakunambia kwanini. Hili ni swali najiuliza mpaka leo.
Swala jingine ni hili hua naskia tu ila sijawai kushuudia madhara yake wala kujua ni kwanini. Mara nyingi mama yangu alikua akinieleza kua kukata kucha usiku ni vibaya na kunizuia kila nilipokua nataka kufanya hivyo. Je kuna ubaya gani kukata kucha usiku?
Watalamu wa mambo nisaidieni majibu kwenye haya
Cha kwanza ni hii ya wauza maduka kutokuuza sindano majira ya usiku. Hii niliithibitisha mimi kwenyewe siku moja. Nilitoka usiku kwenda dukani kununua sindano, nikaenda duka la kwanza(kwa MUHA) akaniambia hana sindano, nikaenda maduka mengine mawili(kwa MSUKUMA na MCHAGA) majibu yakawa yale yale hamna sindano.
Sasa wakati narudi hom nikawa nimeongozana na bro mmoja napiga nae stori. Katika stori stori nikamwambia "mi nilikua nimeingia shop apo kununua sindano nimekosa, nimeona nirudi hom tu". Uyo bro ndo akaniambia "sindano haziuzwagi usiku" ila hakunambia kwanini. Hili ni swali najiuliza mpaka leo.
Swala jingine ni hili hua naskia tu ila sijawai kushuudia madhara yake wala kujua ni kwanini. Mara nyingi mama yangu alikua akinieleza kua kukata kucha usiku ni vibaya na kunizuia kila nilipokua nataka kufanya hivyo. Je kuna ubaya gani kukata kucha usiku?
Watalamu wa mambo nisaidieni majibu kwenye haya