laki si pesa.
JF-Expert Member
- Jul 14, 2015
- 10,003
- 9,730
Halima u tom boy unampotosha anapenda sana mambo ya kiume kuliko ya kike......ila siku hizi amebadilika kidogo naona anajiweka kike kike ila ukaribu wake na Ester Bulaya
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
hahah mbaya wewe,mbona anaolewa na kuzaa kabisa kama mwenyewe yuko tayari...Yupoyupo tu hakuna wa kuoa yule miaka 39 menopause si imebakiza mwaka tu?
umechoka na maishaAmani iwe kwenu waungwana
Ndugu zanguni swali langu kama bandiko linavyojieleza ni kuhusu dada yetu,kipenzi chetu mbunge machachari mh halima mdee mbunge wa kawe
Je ana mume kama hana mume kuna mtu hapa anataka kukamilisha taratibu zote ili achukue jiko kama makubaliano yatapita maana bwana huyo anasema amevutiwa na halima muda mrefu na amesubiri kusikia kama kuna mtu atajitokeza hata wa udhushi kujitangaza ndie mmiliki wa halima
au yeye halima kutangaza lakini haijatokea,sasa yeye amesema yupo tayari kumuoa halima na kumuondolea upweke na matatizo ya kibaolojia yanayosababishwa na upweke,hivyo ni ombi letu kila mwenye kufahamu atufahamishe kama mjuavyo ndoa ni jambo la kheri na heshima,
Aksanteni mjumbe hauwawi!
punguza wivu!Wewe umeolewa?
Dada yake halima mimi ni mjumbe tu!Wewe ulijitangaza wapi ukapata mume?
Usihofu kwa heri tu!Unamtaka? Mtafute.
Unaongea kama mpumbavu flani asiye na akili.Yupoyupo tu hakuna wa kuoa yule miaka 39 menopause si imebakiza mwaka tu?
Sawa HalimaUnaongea kama mpumbavu flani asiye na akili.