Je Mh. Halima Mdee ameshaolewa?

Halima u tom boy unampotosha anapenda sana mambo ya kiume kuliko ya kike......ila siku hizi amebadilika kidogo naona anajiweka kike kike ila ukaribu wake na Ester Bulaya
 
kuna thread humu jamaa mmoja alisema halima ni hermaphrodite mbaya zaidi inayofanya kazi ni ya kiume, huyo anaetaka kumuoa inabidi afikirie mara mbili asije akaolewa yeye!!!
 
Amani iwe kwenu waungwana

Ndugu zanguni swali langu kama bandiko linavyojieleza ni kuhusu dada yetu,kipenzi chetu mbunge machachari mh halima mdee mbunge wa kawe

Je ana mume kama hana mume kuna mtu hapa anataka kukamilisha taratibu zote ili achukue jiko kama makubaliano yatapita maana bwana huyo anasema amevutiwa na halima muda mrefu na amesubiri kusikia kama kuna mtu atajitokeza hata wa udhushi kujitangaza ndie mmiliki wa halima

au yeye halima kutangaza lakini haijatokea,sasa yeye amesema yupo tayari kumuoa halima na kumuondolea upweke na matatizo ya kibaolojia yanayosababishwa na upweke,hivyo ni ombi letu kila mwenye kufahamu atufahamishe kama mjuavyo ndoa ni jambo la kheri na heshima,

Aksanteni mjumbe hauwawi!
umechoka na maisha
 
Mimi namulizia Shyrose banji niliwahi kusikia Dating yake na Jafaria je kwa sasa hali ni vipi!? Na pata ukakasi sana na Type za hawa watu
Cc Ester bulaya
 
Niko Gizani mwenzenu!! wengine wanapotaja Halima Mdee, wengine Esther Bulaya mara Shyrose nimeshindwa kuunganisha doti
 
Kweli Halima ni bint mzuri sana,ila kwa aina na uoande wa siasa anazofanya inahitaji awe na mwanaume aina ya Trump ...Sasa labda bado hajapata
 
Mdee ni msela, anatakiwa kuendana na mwanaume msela mwenziyie, hao wastaarabu wanaotaka kuwa naye hawatendana.
Ukitaka kwenda sawa na Mdee shurti uwe msela.
 
7 Reactions
Reply
Back
Top Bottom