Je Mh. Halima Mdee ameshaolewa?

Amani iwe kwenu waungwana

Ndugu zanguni swali langu kama bandiko linavyojieleza ni kuhusu dada yetu,kipenzi chetu mbunge machachari mh halima mdee mbunge wa kawe

Je ana mume kama hana mume kuna mtu hapa anataka kukamilisha taratibu zote ili achukue jiko kama makubaliano yatapita maana bwana huyo anasema amevutiwa na halima muda mrefu na amesubiri kusikia kama kuna mtu atajitokeza hata wa udhushi kujitangaza ndie mmiliki wa halima

au yeye halima kutangaza lakini haijatokea,sasa yeye amesema yupo tayari kumuoa halima na kumuondolea upweke na matatizo ya kibaolojia yanayosababishwa na upweke,hivyo ni ombi letu kila mwenye kufahamu atufahamishe kama mjuavyo ndoa ni jambo la kheri na heshima,

Aksanteni mjumbe hauwawi!
Hivi kama akakubali kuolewa na huyo jamaa swli hapo je? Nani mwanume ??maana duu nisiongee mengi
 
Back
Top Bottom