Je, Meli ya Mv Victoria ni mbovu?

Je, Meli ya Mv Victoria ni mbovu?

Nawaangalia Halafu Nasema Hii Bhaghoshaa 🙄🤨😁😂🤣😅😄😄😃😁😂🤣🤣✍😅😄

 
Hii meli ilipark pale bandari ya Mwanza kusini (Mwanza South Port) kwa miaka mingi.

Hivi karibu kwenye utawala wa Magufuli meli hii imekarabatiwa kwa kupakwa rangi na kutengenezwa baadhi ya sehemu, inasemekana hadi Injini ilibadilishwa.

Hivi majuzi kuna jamaa yangu wa karibu alisafiri na hii meli kwenda Bukoba, kwa kweli kwa maelekezo yake hii meli ni Kimeo, ilizimika Mara kadhaa njiani wakati Mvua inanyesha na baadhi ya maeneo kupitisha maji.

Siku kadhaa nyuma meli ilizima tena ikabidi watu wafaulishwe kwenye maboti.

Meli imekaribia bandari ya kemondo ikazima tena.

Sasa muhimu kuchukua tahadhali mapema ili kuepusha majanga.

Serikali isipende sifa kwamba imetengeneza meli kumbe meli yenyewe mtego tu wa kuua watu.


Source: abiria wa kwenda BkView attachment 1633137
me sipandi ng'oooo ntatumia mabasi tu😂😂😃😎
 
me sipandi ng'oooo ntatumia mabasi tu😂😂😃😎
😀😁😅😄😃😁😂😅
Thread Hii Itamtoa Nyoka Pangoni Mwake
1. Msemaji Wa Serikali
2. Msemaji Wa Wizara
3. Kamwele Alipo
4. Mkuu Wa Mkoa Mwanza
5. RPC Mwanza
6. DC Ilemela
 
Mimi sio mwana CCM kabisa but huwa napenda mtu anapoleta post kama hii angalau kuwe na ushahidi..
Coz habari bila ushahidi zinafanya tunaochangia tuonekane hatuna akili pls wekeni habari na ushahidi ili JF iendelee kuwa bora..
Sasa kama hii habari tuambie unataka aweke ushahidi gani..

Kama huamini jiongeze kupata uthibitisho ama achana nayo tu.
 
Hii meli ilipark pale bandari ya Mwanza kusini (Mwanza South Port) kwa miaka mingi.

Hivi karibu kwenye utawala wa Magufuli meli hii imekarabatiwa kwa kupakwa rangi na kutengenezwa baadhi ya sehemu, inasemekana hadi Injini ilibadilishwa.

Hivi majuzi kuna jamaa yangu wa karibu alisafiri na hii meli kwenda Bukoba, kwa kweli kwa maelekezo yake hii meli ni Kimeo, ilizimika Mara kadhaa njiani wakati Mvua inanyesha na baadhi ya maeneo kupitisha maji.

Siku kadhaa nyuma meli ilizima tena ikabidi watu wafaulishwe kwenye maboti.

Meli imekaribia bandari ya kemondo ikazima tena.

Sasa muhimu kuchukua tahadhali mapema ili kuepusha majanga.

Serikali isipende sifa kwamba imetengeneza meli kumbe meli yenyewe mtego tu wa kuua watu.


Source: abiria wa kwenda BkView attachment 1633137
Kama Madai yako haya ni ya Kweli basi naziomba Mamlaka husika usimamishe Huduma yake Kwanza kwani hatutaki ya 21/5/1996 yajirudie nchini.
 
Hizo meli hatuna mpango nazo sisi tunaagiza ndege 5 kukuza utalii.
 
Kwa mantiki hii usilete hoja mfu kwenye mambo ya kitalaamu,eti miradi ya awamu hii ni substandard! Kama ni hivyo tungeshuhudia Kila majengo na barabara yanabomoka.

Utaalamu wa kuona udhaifu, utaalamu upo kwenye kujenga sio kuona udhaifu.
 
Mimi sio mwana CCM kabisa but huwa napenda mtu anapoleta post kama hii angalau kuwe na ushahidi..
Coz habari bila ushahidi zinafanya tunaochangia tuonekane hatuna akili pls wekeni habari na ushahidi ili JF iendelee kuwa bora..
Aliyeleta hii habari amesema ameitoa kwa abiria, Mamlaka zinazotakiwa zikachunguze meli na kuhakikisha ni salama, hata akileta ushahidi haitasaidia. maisha ya watu yana samani kubwa sana.
 
Watairekebisha tu msijali ni matatizo ya kiufundi tu hayo kwani titanic ilikua na tatizo gani mpaka ikaua watu
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ilikuwa na Jack
 
Ukipanda hiyo meli nenda mtumbwi wako ukae nao karibu kikiwaka unaachia nyoya
 
Huu uvumi ulianzia facebook, aliyeuweka akaukana na kusema account yake ya facebook ilidukuliwa, alichosahau pia kwenye account yake zipo picha na jumbe mbali mbali za ki- kamanda wa chama kile cha rais wa Ubelgiji....nadhani jamaa atakuwa anasaidia TCRA, ujinga huo naona umeletwa hapa na Mods wapo kimya tu! Tunampa shida Melo kulinda ujinga wetu huu!
Naunga mkono hoja
 
Back
Top Bottom