Chagu wa Malunde
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 8,744
- 5,771
Wewe tindo una utalaamu gani wa quality control kiasi cha kujua kuwa hii barabara,jengo ni substandard? Wewe unadhani ubora wa barabara unapimwa kwa macho? Kwa hiyo unataka kusema mataluma yanayotumika kwenye Sgr ni substandard? Na ulipima kwa kutumia nini?Kuna post humu ndani nilimwambia mmwaga sifa mmoja wa serikali hii kuwa miradi mingi ni substandard, mfano barabara, majengo nk, alikuja sana, nikamwambia mingi haitafukisha miaka mitano itaanza kuharibika, kwani serikali ya sasa inachojali ni wingi na sio ubora. Kama kuna hilo la meli huo ni muendelezo wa mtazamo wangu.
Acha wivu wa kishamba, maendeleo yanayofanyika ni kwa manufaa ya umma.