MWALLA
JF-Expert Member
- Dec 12, 2006
- 16,952
- 10,512
ilizimika na wewe ukiwa humohumo? au hadithi tuNi kweli ilizimika mara 3 muda tofauti tofauti
ilizimika na wewe ukiwa humohumo? au hadithi tuNi kweli ilizimika mara 3 muda tofauti tofauti
Kwa vijana wa chadema? Waongo hao ndo unaamini habari zao? Hujui kuwa sera ya chama chao ni kuponda kila kitu? We ona tu wanavyoponda hata zahanati na health center zinazojengwa!
Huu uvumi ulianzia facebook, aliyeuweka akaukana na kusema account yake ya facebook ilidukuliwa, alichosahau pia kwenye account yake zipo picha na jumbe mbali mbali za ki- kamanda wa chama kile cha rais wa Ubelgiji....nadhani jamaa atakuwa anasaidia TCRA, ujinga huo naona umeletwa hapa na Mods wapo kimya tu! Tunampa shida Melo kulinda ujinga wetu huu!
Asante wakuu, kweli miongoni mwa jamii ya kitanzania kuna viumbe wa kushangaza. Walianza kwa kudhamiria kuwa, nchi haitawaliki.Kwa mantiki hii usilete hoja mfu kwenye mambo ya kitalaamu,eti miradi ya awamu hii ni substandard! Kama ni hivyo tungeshuhudia Kila majengo na barabara yanabomoka.