Daudi Mchambuzi
JF-Expert Member
- Nov 25, 2010
- 62,190
- 128,264
nani aliua treni?Huko Moshi treni vipi bwashee?
Imewapunguzia gharama za usafiri!!!
nani aliua treni?Huko Moshi treni vipi bwashee?
Imewapunguzia gharama za usafiri!!!
Watu wa kaskazini!nani aliua treni?
Siyo kazi ndogo wanayoifanya kina Zitto na Lissu!!
Mwishowe mmeshika somo sasa!...
Kwa vijana wa chadema? Waongo hao ndo unaamini habari zao? Hujui kuwa sera ya chama chao ni kuponda kila kitu? We ona tu wanavyoponda hata zahanati na health center zinazojengwa!Kweli nmesikia hizo habari kwa Vijana wa chadema juzikati walikuwa wanaiponda saaana
Eleza basi unachojua wewe!Wewe dogo Mungu anakuona,wewe hujui meli,wala hujui unalosema ETI MELI ILIZIMIKA WAKABIDI WAFAULISHE WATU KWENYE BOTI.
Inatafutwa kafaraHii meli ilipark pale bandari ya Mwanza kusini(Mwanza South Port) kwa miaka mingi
Hivi karibu kwenye utawala wa Magufuli meli hii imekarabatiwa kwa kupakwa rangi na kutengenezwa baadhi ya sehemu ,inasemekana hadi Injini ilibadilishwa
Hivi majuzi kuna jamaa yangu wa karibu alisafiri na hii meli kwenda Bukoba, kwa kweli kwa maelekezo yake hii meli ni Kimeo, ilizimika Mara kadhaa njiani wakati Mvua inanyesha na baadhi ya maeneo kupitisha maji
Siku kadhaa nyuma meli ilizima tena ikabidi watu wafaulishwe kwenye maboti
Meli imekaribia bandari ya kemondo ikazima tena
Sasa muhimu kuchukua tahadhali mapema ili kuepusha majanga
Serikali isipende sifa kwamba imetengeneza meli kumbe meli yenyewe mtego tu wa kuua watu
Source: abiria wa kwenda BkView attachment 1633137
Kufaulishwa kwenye boti (Lifeboat)au Life raft ni pale meli inapopatwa na majanga makubwa sana kwamba kuishi ndani ya meli ni hatari kwa maisha ya binadamu hao.hebu muelimishe kwa fact.
Wachana nayo kabisa mkuu afadhali ujipandie yale makopo ya Sabuni bora ufikeNilikuwa nataka kwenda mwanza xmass from bk itabidi nisiende kwanza
Tupe wewe basi ukweli maana inaonekana kuna kitu unajuaWewe dogo Mungu anakuona,wewe hujui meli,wala hujui unalosema ETI MELI ILIZIMIKA WAKABIDI WAFAULISHE WATU KWENYE BOTI.
Maoni yangu nimeyaweka tiyari.Tupe wewe basi ukweli maana inaonekana kuna kitu unajua
Siyo kazi ndogo wanayoifanya kina Zitto na Lissu!!
Mwishowe mmeshika somo sasa!
Yaani mnaamua kuwa waongo mchana kweupe kuwashinda hata walimu wenu siyo?
Yaani mzigo unaobebwa na Meli ufaulishwe kwenye boti??
Pumbavu Hadi walimu wenu!!
Hili sina uhakika nalo, ila kuwa miundombinu mingi ni substandard ili kusaka political millage, hilo halina mjadala. Inawezekana mzigo haukifaulishwa bali watu ili kuokoa maisha yao. Lakini kwakuwa vyombo vya habari haviko huru, huwezi kusikia hili kwenye vyombo rasmi vya habari zaidi ya huku mitandaoni. Hivyo wangalau tunaona 50% kuna ukweli, na 50% tunasubiri udhibitisho.
Na ndio muda mzuri wa kuwatowa makafara.Nilikuwa nataka kwenda mwanza xmass from bk itabidi nisiende kwanza