Sol de Mayo
JF-Expert Member
- Sep 10, 2016
- 6,324
- 5,934
Natumai muko njema bandugu.
Msaada wenu bandugu,,,mazoezi haya wakati wa kuyafanya unatakiwa kubana pumzi??? Na je, usipobana pumzi inakuwaje?
Nitashukulu sana mukinisaidia na Mungu atawabaliki.
Msaada wenu bandugu,,,mazoezi haya wakati wa kuyafanya unatakiwa kubana pumzi??? Na je, usipobana pumzi inakuwaje?
Nitashukulu sana mukinisaidia na Mungu atawabaliki.
- Zoezi la kukimbia
- Kegel
- Push up
- Gym
- Zoezi la kuchuchumaa