Natumai hamjambo wanabodi.
Wakuu kuna hii dhana imejengeka katika jamii kuwa wanawake wanaovaa nguo fupi ni malaya na huyatumia mavazi hayo kama kivutio na mtego kwa wanaume.
Binafsi nadhani hii dhana ni potofu sababu ukiangalia hata asilia yetu kabla ya mavazi haya mzungu wanawake walifunika uchi ila mambo haya ya uzinzi hayakuwepo.
Nadhani uzinzi unatokana na hulka ya mtu na wala hauhusiani na mavazi kabisa, ninao marafiki wa kike wanaovaa mavazi mafupi wanajiheshimu sana na huniambia wanavaa vile coz ndio hobi yao ya uvaaji.
Je, ni upi mtizamo wako katika jambo hili?
Wakuu kuna hii dhana imejengeka katika jamii kuwa wanawake wanaovaa nguo fupi ni malaya na huyatumia mavazi hayo kama kivutio na mtego kwa wanaume.
Binafsi nadhani hii dhana ni potofu sababu ukiangalia hata asilia yetu kabla ya mavazi haya mzungu wanawake walifunika uchi ila mambo haya ya uzinzi hayakuwepo.
Nadhani uzinzi unatokana na hulka ya mtu na wala hauhusiani na mavazi kabisa, ninao marafiki wa kike wanaovaa mavazi mafupi wanajiheshimu sana na huniambia wanavaa vile coz ndio hobi yao ya uvaaji.
Je, ni upi mtizamo wako katika jambo hili?