Gosbertgoodluck
JF-Expert Member
- Mar 3, 2008
- 2,855
- 401
Wandugu,
Kwa miezi takribani mitatu mfululizo nimekuwa nakunywa dawa aina mbalinbali za amoeba bila mafanikio ya kupona. Ni hivi karibuni tu nimekunywa dawa aina fulani dozi mbili na kufanikiwa kupona. Pamoja na mafanikio hayo, nimegundua uwezo wangu wa kiume umepungua sana. Sasa hivi nina zaidi ya mwezi mzima 'mzee' hasimami na hata akisimama ni muda mfupi sana analala tena kiasi cha kushindwa kupanda mlima. Nimejaribu mara kadhaa kuvuta hisia lakini mzee anashtuka tu na kuendelwa kulala.
Nachotaka kujua ni je, hali hii ni ya kawaida na hasa baada ya matumizi ya dawa kali? Kama ni ya kawaida, nitarajie kurudi katika hali yangu ya awali baada ya muda gani? Je, kuna uwezekano wa ku-speed up recovery kwa maana ya kunywa dawa fulani? Tafadhali madaktari naomba mnijuze.
Kwa miezi takribani mitatu mfululizo nimekuwa nakunywa dawa aina mbalinbali za amoeba bila mafanikio ya kupona. Ni hivi karibuni tu nimekunywa dawa aina fulani dozi mbili na kufanikiwa kupona. Pamoja na mafanikio hayo, nimegundua uwezo wangu wa kiume umepungua sana. Sasa hivi nina zaidi ya mwezi mzima 'mzee' hasimami na hata akisimama ni muda mfupi sana analala tena kiasi cha kushindwa kupanda mlima. Nimejaribu mara kadhaa kuvuta hisia lakini mzee anashtuka tu na kuendelwa kulala.
Nachotaka kujua ni je, hali hii ni ya kawaida na hasa baada ya matumizi ya dawa kali? Kama ni ya kawaida, nitarajie kurudi katika hali yangu ya awali baada ya muda gani? Je, kuna uwezekano wa ku-speed up recovery kwa maana ya kunywa dawa fulani? Tafadhali madaktari naomba mnijuze.