Basi Nenda
JF-Expert Member
- Jul 29, 2017
- 20,180
- 45,910
Emu funguka vizuri hiyo ya nyerereEnzi za awamu za mwanzoni nasikia ili uwe mlinzi ilikuwa lazima uage vizuri kwenu. Jk Nyerere mwenyewe alihutubia akahadithia alivyo wahi kuzikwa kaburini mzima mzima huko Bagamoyo. Kuna rais wa juzi kati hapa aliahidiwa kupewa ulinzi usio oneka na ustadhi sheikh flani hivi.