Asubuhi News
Member
- Mar 15, 2026
- 52
- 90
Nimepitia kipeperushi Cha Bw. Civilian Coin-mtoto wa Kisandu Kama anavyojiita yeye anathibitisha kuwa Malaika ndio Mungu.
Ila Deogratius Kisandu... Anyways, maisha hayana formulaNimepitia kipeperushi Cha Bw. Civilian Coin-mtoto wa Kisandu Kama anavyojiita yeye anathibitisha kuwa Malaika ndio Mungu.
View attachment 3558720
Siku hizi haitwi Deo anaitwa Civilian Coin baada ya kuacha kazi za serikaliIla Deogratius Kisandu... Anyways, maisha hayana formula
Hilo ni jina lisilo rasmi... Kwa sisi tunaomfahamu ataendelea kuwa Deogratius Nalimi KisanduSiku hizi haitwi Deo anaitwa Civilian Coin baada ya kuacha kazi za serikali
Kisha apa kisheriaHilo ni jina lisilo rasmi... Kwa sisi tunaomfahamu ataendelea kuwa Deogratius Nalimi Kisandu
Huyu ndiye yule Deo Kisandu wa siku nyingi? Kuna jamaa hapahapa alitupiga changa la macho kuwa alifariki siku nyingi. Kuna kipindi alikuwa amefungwa.Ila Deogratius Kisandu... Anyways, maisha hayana formula
Watu Ni matapeli badala ya kujirizisha wakamzushia jamaa kifo kisa alikuwa amefungwa na ndio maana kabadili jina na kuwa Civilian CoinHuyu ndiye yule Deo Kisandu wa siku nyingi? Kuna jamaa hapahapa alitupiga changa la macho kuwa alifariki siku nyingi. Kuna kipindi alikuwa amefungwa.
Kwa hiyo kuna nini...Yes anaweza kuwa mungu au chochote kile………… but not in reality
Labda kwenye ulimwengu wa kufikirika kwasababu HAKUNA mungu wala shetani
Juyu binadam kabadili jina..Jeshi la Polisi Mkoani Mwanza limemkamata Deogratius Kisandu ambaye ni mwalimu wa Shule ya Sekondari Mkolani kwa makosa ya kutumia vibaya mitandao ya kijamii kwa kuandika matusi.
Mtuhumiwa huyo anadaiwa kutumia ukurasa wake wa Facebook kuandika matusi kwa takribani wiki nzima.
![]()
- Decree Holder
- deogratius kisandu digital rights freedom of speech haki ya taarifa matusi mtandaoni uhuru wa maoni
- Replies: 488
- Forum: Habari na Hoja mchanganyiko
There is.There is no scientific proof for the existence of God.