Je maji yalitokea wapi?

Je maji yalitokea wapi?

Ukienda kwa Mlengo Wa Dini...hakuna kuhoji hoji...unachotakiwa ni kuamini tu.

Amini tu ndg Yangu kilichondikwa....!

'Roho Wa Mungu akatulia juu ya uso wa Maji' ...amini tu hivyo hivyo. No maswali.!
Mungu akasema yale maji yaliyo chini ya anga na yakusanyike mahali pamoja. Pale Pakavu akapaita nchi ikawa hivyo. Ikawa jioni ikawa asubuhi siku ya 3.
 
Hail the Prince,

"Hapo mwanzo Mungu aliziumba mbingu na nchi. Nayo nchi ilikuwa ukiwa, tena utupu, na giza lilikuwa juu ya uso wa vilindi vya maji; Roho ya Mungu ikatulia juu ya uso wa maji."

Hivi maji yalitokea wapi? Nielezeni kwa upole
JIBU HILI HAPA:
Hapo mwanzo Mungu aliziumba mbingu na nchi. Nayo nchi ilikuwa ukiwa, tena utupu, na giza lilikuwa juu ya uso wa vilindi vya maji.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom