Ulijiuliza ni kwanini Goli hilo lililowapita hao Mabeki wote na Kipa nae Kufungwa kirahisi na Kipumbavu vile upesi sana Camera za Azam Tv zikammulika Injinia Hersi wa GSM na akawa anafurahi mno huku akionyesha kuwa Pesa alizozipenyeza kwa Mabeki wa JKT Tanzania pamoja na Kipa wao zimeenda Kihalali?