GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 56,052
- 107,535
Hata Mimi GENTAMYCINE na Uzee wangu huu wote wa sasa sifungwi Magoli ya Kizembe kama yale aliyofungwa leo Kipa wa JKT Tanzania.
Na kilichonishangaza zaidi ni kwamba pamoja na Kipa huyo wa JKT Tanzania Kufungwa leo Magoli yale Mawili na Yanga SC ukimuangalia Usoni wala haonyeshi ama Kusikitika na Kuchukia Kufungwa vile.
Ligi ya Tanzania imejaa Rushwa tupu7
Na kilichonishangaza zaidi ni kwamba pamoja na Kipa huyo wa JKT Tanzania Kufungwa leo Magoli yale Mawili na Yanga SC ukimuangalia Usoni wala haonyeshi ama Kusikitika na Kuchukia Kufungwa vile.
Ligi ya Tanzania imejaa Rushwa tupu7