Je, Lissu yupo nchini?

Mbinu zenu za kishetani zimegonga mwamba kwa kutaka kuondoa uhai wa Tundu
Mungu ni mkubwa! Aliamua asife ili aone maendeleo yanayopigwa hapa TZ ili aibike zaidi unaona hata sasa anaogopa kuja TZ kwa sababu anaona aibu kujionea maendeleo tulifikia TZ alitegemea nchi itaanguka hata hao wafadhiri wamemu ignore sana na propaganda zake.
 
Utaimba sana taarabu sana hizo maana siyo ngeni kwa kuitabiria kifo cdm lkn hadi sasa kinaendelea kuwalaza na makata mbuga.

Rejea mwaka 2011 Wasira alijiapiza kuwa atahakikisha cdm inakufa kabla ya 2013 lakini yeye ndiye kafutika kwenye ramani ya kisiasa. Sasa hivi yupo kwao anaendesha kibaa kinaitwa Mirito na kuchunga mbuzi wawili.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Naona dili la kusaliti limedorola kwa hiyo ameamua kurudi kimya kimya.
Vipi kuhusu usalama wake, si alisema harudi mpaka ahakikishiwe kuwa atapewa ulinzi? Au ilikuwa mi mibweko ya mbwa asiye na meno 😅😅
 
Kwahiyo unakiri kuwa Mungu alikuzidi maarifa?
Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwanini mlitaka kuondoa uhai wake?
 
Mbwa ni mbwekaji ni wewe usiye jitambua
Naona dili la kusaliti limedorola kwa hiyo ameamua kurudi kimya kimya.
Vipi kuhusu usalama wake, si alisema harudi mpaka ahakikishiwe kuwa atapewa ulinzi? Au ilikuwa mi mibweko ya mbwa asiye na meno [emoji28][emoji28]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Bahati mbaya huwa mnasahau mapema. By the way, huo Urais ungekuwa unapatikana kirahisi hivyo, unafikiri Mbowe angeucha abaki chamani tu? Tia akili kichwani dogo!!!
Mkuu,
Uraisi mbona unapatikana,JPM alibipu tu akaupata au hukumsikia mwenyewe?
 
Kumbe hujui basi. Ngoja ni lale tutachat kesho!
Mmekaririshwa hivyo bila kufahamu chochote. Kasome Biblia mtu mwenye tabia za kusema uongo kama zako anastahili adhabu gani?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…