Uchunguzi wa kesi za jinai sio ligi ya mpira wa mguu unasema dakika ya ngapi tumefikia wapi n.k. Mambo yote yatawekwa wazi mahakamani na ndio maana watu wanatafuta kila sababu ya kutorudi nchini. Mara anatibiwa kisaikolojia, mara anatafutiwa shule asome certificate baadaye diploma and then degree. Hivi mtu ambaye hajajiondoa ufahamu kweli haoni hii fix ya sababu za kutokuja nchini kwake?