wabaya watengwe
JF-Expert Member
- Dec 28, 2017
- 202
- 156
MmmhHahaha zipo nyingi ila wanasema hyo ya nyama ya chumvini ndo hukolea zaidi
MmmhHahaha zipo nyingi ila wanasema hyo ya nyama ya chumvini ndo hukolea zaidi
Aloo hatari! JF ni jukwaa la elimu hivyo tuelimishane. Nina swali.Hahaha zipo nyingi ila wanasema hyo ya nyama ya chumvini ndo hukolea zaidi
Hata wanaume siku hizi wanalisha wenzi wao limbwataUna moyo wa ajabu kaka pamoja na kutendwa huko bado unaamini katika mapenzi,,hadi unasema unaomba hali isijirudie tena dooh kweli ya Mungu mengi
Hii kitu ni very Hatarious, isikie tu kwa watu. Kuna pahala nilituona tumajani twakeShuntama
Yani ukimpenda mtu na yeye akikupenda hata hyo limbwata yao haioni ndani...kuna raha sana kupendanaLimbwata ipo ukiamini, na mapenzi yapo yakikukokea hutofautishi na limbwata, all in all mapenzi ya wacha Mungu raha sana
Unaingizwa Mkenge.Kuna dawa Kali sana huko vijijini Mkuu!
Ila niliwahi sikia zipo dawa za kutapisha!
asante sanaHahahaha itabidi nimwambie
Kaka ukomi tu.kweli we ndunda.aiseeKama una dada hajaolewa mwambie mi nipo, nasubiri
Limbwata lako sio la Dunia hii, lakini Na ukali wake , kwanini jamaa alienda kuoa mwanamke mwingine?Hahahahaha Kuna ex wangu mpaka waleo sometimes hukosea jina na kumwita mkewe jina langu...
Mkewe mwanzo alimind sana mpaka akazoea na kuamua kumuuliza mumewe.. Hivi huyo........ Ninani??
Mumewe akaamua kumueleza ukweli tu if not you was her,, she was the woman of my life
Nilishangaa sana roho ya huyo mwanamke.. Alichomwambia mumewe seems ulimpenda na unampenda sana..... Na ikitokea hata leo hii ukacheat naomba ucheat na...... Au Ukitaka kuongeza mke wa pili naomba awe..... Make namuheshimu sana nayeye atakua mkubwa mi mdogo.
Cc Smart911
Ndioooolimbwata part 2?
Hahaha,Nimecheka sana.pia nikupe pole mkubwa kwa mateso,maana hayo alikua LIBWATA,ILA ULILABWATIKA.m/mngu niepushe gonjwa hilo HATARI.
True love at first sight ni kitu kibaya kabisaMimi nililetewa hadi mimba nikasamehe, nilishafumania nikasamehe, nilishaitwa majina ya watu katikati ya game nikasamehe.
Sikujua kama ningeweza kuishi bila yule mdada, after six good yrs alipata mwanaume akaniacha nikaweweseka sana mikawa mlevi ni hatari kazini hawanielewi nikakonda kwa mawazo.
Huko alikoenda alitandikwaga hadi akang'olewa jino wengine hawataki ujinga. Akajaribu kurudi kwangu akakuta moyo umekunjamana namuona kama shetani kinyago. Kila nikikumbuka ile hali najiona jinsi nlivokuwaga mjinga.
Usicheze na mapenzi.
Namuomba Mungu hii hali isije ikanirudia tena kwa mwanamke nitayeishi nae.