Reginald L. Ishala
JF-Expert Member
- Jun 18, 2011
- 3,810
- 6,801
Aina ya limbwata ambalo jike langu huwa anitengenezea, Nikiondoka tumekosana, Huwa anagonga miimo ya mlango kwamba hasira zangu ziishie nje, Nikitia maguu ndani ni furaha na upendo tu.Hapo umemaanisha??