Bujibuji Simba Nyamaume
JF-Expert Member
- Feb 4, 2009
- 76,579
- 161,432
- Thread starter
- #121
utapata mualiko rasmi![]()
![]()
lini hiyo nijiandae kabisa?
utapata mualiko rasmi![]()
![]()
lini hiyo nijiandae kabisa?
Umeleta mrejesho ki ainaMimi nililetewa hadi mimba nikasamehe, nilishafumania nikasamehe, nilishaitwa majina ya watu katikati ya game nikasamehe.
Sikujua kama ningeweza kuishi bila yule mdada, after six good yrs alipata mwanaume akaniacha nikaweweseka sana mikawa mlevi ni hatari kazini hawanielewi nikakonda kwa mawazo.
Huko alikoenda alitandikwaga hadi akang'olewa jino wengine hawataki ujinga. Akajaribu kurudi kwangu akakuta moyo umekunjamana namuona kama shetani kinyago. Kila nikikumbuka ile hali najiona jinsi nlivokuwaga mjinga.
Usicheze na mapenzi.
Namuomba Mungu hii hali isije ikanirudia tena kwa mwanamke nitayeishi nae.
Umewaroga wangapi?Umeleta mrejesho ki aina
Dada uyo anaolewa....Mashabiki wa yanga walijaribu kutupa limbwata ikashindikana.
View attachment 761974

Kama imani yako yaweza kukuokoa, basi yaweza kukuangamiza piaMimi siamini kama lipo, imani yangu inaniambia hakuna kitu kama hicho na hakiwezi kunitokea MUNGU nisaidie.
Yallah........View attachment 758777
Naomba kuwakilisha