Je, limbwata lipo?

Je, limbwata lipo?

Mimi nililetewa hadi mimba nikasamehe, nilishafumania nikasamehe, nilishaitwa majina ya watu katikati ya game nikasamehe.

Sikujua kama ningeweza kuishi bila yule mdada, after six good yrs alipata mwanaume akaniacha nikaweweseka sana mikawa mlevi ni hatari kazini hawanielewi nikakonda kwa mawazo.

Huko alikoenda alitandikwaga hadi akang'olewa jino wengine hawataki ujinga. Akajaribu kurudi kwangu akakuta moyo umekunjamana namuona kama shetani kinyago. Kila nikikumbuka ile hali najiona jinsi nlivokuwaga mjinga.

Usicheze na mapenzi.

Namuomba Mungu hii hali isije ikanirudia tena kwa mwanamke nitayeishi nae.
pole sana mkuu
 
Nishawahi Lishwa limbwata na kadada ka kazi nikawa nakapenda mpaka kana nipangia mda wa kurudi nyumbani na wakati mwingine nakakuta kametoka guest ya jirani na mwanaume afu kana nifokea kama mtoto huyu ni mjomba wee tangulia nyumbani namsindikiza mjomba wako, nilikaa nae zaidi ya miaka mitatu ilifika wakati ananiambia wewe huwezi kuniacha labda nikuache mwenyewe.

Lakini Mungu ni mwema nilipo mchukia sikuhitaji hata kumuona nikamfukuza siku namtimua akaniambia kuwa yeye aliniloga kwa BABU YAKE WA IGUGUNO SINGIDA ili afanikishe mambo yake Lakini ametokea kunipenda sikumuelewa tena ila nilipitia mateso makali sana na dhuruma ya vitu.

Mungu aniepushe nisije pata mke tapeli kama yule ilifika kipindi ananikosea nalia kama mtoto.

USIOMBE LIMBWATA LA WANYATURU- SINGIDA
 
Hii ya kuita majina mengine katikati ya gem . ilisha nitokea mkuu

Na Mimi pia nilisamehe
 
Shuntama ya nshamba unaambiwa ni kaa la moto na pilipili
 
LIMBWATA ni kitu gani hasa?........ukikolea mahabani?? au ulozi mahabani?? au kufanywa zezeta staarabu na mahububa wako, huku na yeye anachepukia kule....kakutia upofu/ukiziwi.......???? naomba ufafanuzi waelewa....
 
Nishawahi Lishwa limbwata na kadada ka kazi nikawa nakapenda mpaka kana nipangia mda wa kurudi nyumbani na wakati mwingine nakakuta kametoka guest ya jirani na mwanaume afu kana nifokea kama mtoto huyu ni mjomba wee tangulia nyumbani namsindikiza mjomba wako, nilikaa nae zaidi ya miaka mitatu ilifika wakati ananiambia wewe huwezi kuniacha labda nikuache mwenyewe.

Lakini Mungu ni mwema nilipo mchukia sikuhitaji hata kumuona nikamfukuza siku namtimua akaniambia kuwa yeye aliniloga kwa BABU YAKE WA IGUGUNO SINGIDA ili afanikishe mambo yake Lakini ametokea kunipenda sikumuelewa tena ila nilipitia mateso makali sana na dhuruma ya vitu.

Mungu aniepushe nisije pata mke tapeli kama yule ilifika kipindi ananikosea nalia kama mtoto.

USIOMBE LIMBWATA LA WANYATURU- SINGIDA
Pole
 
Back
Top Bottom