VoiceOfReason
JF-Expert Member
- Nov 4, 2010
- 5,194
- 1,355
Guys its nothing to do with DNA its just culture the way we have been raised...... Chukua mfano wa Muhindi na Muafrika hapa Tanzania.... Muhindi atafanya biashara ataspend about 5% ya profit yake na kuinvest the rest why? because amelelewa katika mazingira ya biashara.
Mbongo atafanya biashara ataspend hata capital yake na kukopa ili tu aonekane tajiri na kuwakoga watu mitaani ili wamuone anatanua na gari zuri na kwamba ni mtu wa matanuzi.... and this is not only black people in TZ nenda Jamaica, UK, America its just the same. Its the way we have been brought up, its our culture
Mbongo atafanya biashara ataspend hata capital yake na kukopa ili tu aonekane tajiri na kuwakoga watu mitaani ili wamuone anatanua na gari zuri na kwamba ni mtu wa matanuzi.... and this is not only black people in TZ nenda Jamaica, UK, America its just the same. Its the way we have been brought up, its our culture