Mleta mada mbona unatumia mafumbo sana.
Unamaana ndio sababu DR akaacha vile vyeo vyake vingine vyote ili akamilishe ukombozi?
Mpango wa mungu siku zote malengo yake ni kumfanya binaadamu afkie lengo la kuupata ufalme wa mbinguni na wala sio malengo ya kidunia kama ilivyo CDM. Angalia usije ukaibua mengine hapa! warning.
Unamaana ndio sababu DR akaacha vile vyeo vyake vingine vyote ili akamilishe ukombozi?
Mpango wa mungu siku zote malengo yake ni kumfanya binaadamu afkie lengo la kuupata ufalme wa mbinguni na wala sio malengo ya kidunia kama ilivyo CDM. Angalia usije ukaibua mengine hapa! warning.