Je, kweli CHADEMA ni mpango wa Mungu?

Je, kweli CHADEMA ni mpango wa Mungu?

Ni jambo lililowazi kuwa CCM hawafanikiwa katika propaganda zao chafu dhidi ya CHADEMA si tu kutokana umahiri wa viongozi wa CHADEMA, bali hata mwenyezi Mungu yuko upande wa mamilioni ya watanzania wanaoteseka na kunyanyasika chini ya utawala huu dhalimu wa CCM.

Mifano ipo mingi ya jinsi Mungu anavyowaumbua hawa watu.Kwa mfano,utajiuliza Mwigulu alikuwa na ulazima gani wa kutamka kwenye TV(Star TV) kuwa anamiliki CD ikiwaonyesha viongozi wa CHADEMA wakipanga mauaji?Jibu ni kwamba mwenyezi Mungu kawanyima maarifa na badala yake wanafanya mambo ambayo mwisho wa siku wanaishia kuumbuka tu.Kauli ile ya Mwigulu ni kosa kubwa kwa mazingira ya sasa ya hii kesi.

Hata mauaji ya Daudi Mwangosi yamefanyika katika mazingira ya kuwaumbua watawala hawa!

Mlolongo wa matukio ya CCM kuumbuka ni mengi na yote ni kwasababu mwenyezi Mungu anawanyima maarifa na si vinginevyo.

Siku zote CCM huwa nawafananisha na wale waliokuwa wajenzi wa "mnara wa babeli" ambao mwenyezi Mungu aliwapiga laana na wakajikuta hawaelewani katika lugha.Tofauti kati yao na hawa CCM ni ndogo tu, badala ya mwenyezi Mungu kuwafanya wasiongee lugha moja, alichokifanya kwa hawa CCM ni kuwanyima maarifa tu.

Mambo wanayoyafanya kwakweli ni ya kipuuzi kanakwamba ni mambo yanayofanywa na watoto wa darasa la kwanza!

CCM hamshindani na CHADEMA bali mnashindana na Mungu!

Swali,je,mtaweza?
kawaida yenu hata huyo kikwete mnaemfanyia majungu si mlimuita chaguo la mungu tumewashtukia ndo gia yakuteka wapumbavu wenzenu
 
Mungu wa CHADEMA ni yule mungu wa 'nabii ' KIBWETERE!
 
Na bado wanaendelea kumuamini huyo Mungu anayeshindwa kila siku!...
Duh! hapa ni full kufuru! kumbe ndo maana hata mnalopanga linabuma! big up Chadema tujiweke karibu na Mwenyezi Mungu kwani Inanilah Maswabirina
 
Duh! hapa ni full kufuru! kumbe ndo maana hata mnalopanga linabuma! big up Chadema tujiweke karibu na Mwenyezi Mungu kwani Inanilah Maswabirina

Wewe si kondoo wa zizi hili! Mungu wa CHADEMA ni mungu wa msalaba!
 
Duh,'Mungu' anaibiwa kura,anapora mke wa mtu, anasaliti taaluma yake kwa tamaa ya ngono, anasambaratishwa kwenye maandamano, anafadhili mpango wa kuteka na kudhuru. Basi CCM inauwezo mkubwa sana

Ewe gamba mkuu wa magamba unaongea nini hapa hivi mbona unazidi kjiongezea hukum kwa MUNGU?
 
Huyo Mungu wa Chadema atakuwa ule mzimu wa kimachame.
"engitoto olentoto,mboyo mur'nghanta yuli mulungu.
 
Ni jambo lililowazi kuwa CCM hawafanikiwa katika propaganda zao chafu dhidi ya CHADEMA si tu kutokana umahiri wa viongozi wa CHADEMA, bali hata mwenyezi Mungu yuko upande wa mamilioni ya watanzania wanaoteseka na kunyanyasika chini ya utawala huu dhalimu wa CCM.

Mifano ipo mingi ya jinsi Mungu anavyowaumbua hawa watu.Kwa mfano,utajiuliza Mwigulu alikuwa na ulazima gani wa kutamka kwenye TV(Star TV) kuwa anamiliki CD ikiwaonyesha viongozi wa CHADEMA wakipanga mauaji?Jibu ni kwamba mwenyezi Mungu kawanyima maarifa na badala yake wanafanya mambo ambayo mwisho wa siku wanaishia kuumbuka tu.Kauli ile ya Mwigulu ni kosa kubwa kwa mazingira ya sasa ya hii kesi.

Hata mauaji ya Daudi Mwangosi yamefanyika katika mazingira ya kuwaumbua watawala hawa!

Mlolongo wa matukio ya CCM kuumbuka ni mengi na yote ni kwasababu mwenyezi Mungu anawanyima maarifa na si vinginevyo.

Siku zote CCM huwa nawafananisha na wale waliokuwa wajenzi wa "mnara wa babeli" ambao mwenyezi Mungu aliwapiga laana na wakajikuta hawaelewani katika lugha.Tofauti kati yao na hawa CCM ni ndogo tu, badala ya mwenyezi Mungu kuwafanya wasiongee lugha moja, alichokifanya kwa hawa CCM ni kuwanyima maarifa tu.

Mambo wanayoyafanya kwakweli ni ya kipuuzi kanakwamba ni mambo yanayofanywa na watoto wa darasa la kwanza!

CCM hamshindani na CHADEMA bali mnashindana na Mungu!

Swali,je,mtaweza?

Acheni kumkufuru Mungu
 
kweli huyo mungu wa chadema ni noma. anashauri mpaka kwenda kuteka watu? sijapata ona/sikia popote kwenye hii ardhi

Ni jambo lililowazi kuwa CCM hawafanikiwa katika propaganda zao chafu dhidi ya CHADEMA si tu kutokana umahiri wa viongozi wa CHADEMA, bali hata mwenyezi Mungu yuko upande wa mamilioni ya watanzania wanaoteseka na kunyanyasika chini ya utawala huu dhalimu wa CCM.

Mifano ipo mingi ya jinsi Mungu anavyowaumbua hawa watu.Kwa mfano,utajiuliza Mwigulu alikuwa na ulazima gani wa kutamka kwenye TV(Star TV) kuwa anamiliki CD ikiwaonyesha viongozi wa CHADEMA wakipanga mauaji?Jibu ni kwamba mwenyezi Mungu kawanyima maarifa na badala yake wanafanya mambo ambayo mwisho wa siku wanaishia kuumbuka tu.Kauli ile ya Mwigulu ni kosa kubwa kwa mazingira ya sasa ya hii kesi.

Hata mauaji ya Daudi Mwangosi yamefanyika katika mazingira ya kuwaumbua watawala hawa!

Mlolongo wa matukio ya CCM kuumbuka ni mengi na yote ni kwasababu mwenyezi Mungu anawanyima maarifa na si vinginevyo.

Siku zote CCM huwa nawafananisha na wale waliokuwa wajenzi wa "mnara wa babeli" ambao mwenyezi Mungu aliwapiga laana na wakajikuta hawaelewani katika lugha.Tofauti kati yao na hawa CCM ni ndogo tu, badala ya mwenyezi Mungu kuwafanya wasiongee lugha moja, alichokifanya kwa hawa CCM ni kuwanyima maarifa tu.

Mambo wanayoyafanya kwakweli ni ya kipuuzi kanakwamba ni mambo yanayofanywa na watoto wa darasa la kwanza!

CCM hamshindani na CHADEMA bali mnashindana na Mungu!

Swali,je,mtaweza?
 
Wewe si kondoo wa zizi hili! Mungu wa CHADEMA ni mungu wa msalaba!

kaka,tuache tofauti nae pia kwa imani anaamini hvyo. kuna wengine wana cdm wanaamini welelo kama mungu wao. tukianza hzo mkuu tutaparaganyika mapema na hvyo kuwepo na chembechembe za udini ndani ya chama. nadhani hapa ni kumtegemea mungu kwa kila mmoja katka imani yake. kilicho nyuma ya pazia ni kwamba maccm wanatumia dola bali mungu yuko pamoja na cdm.
 
Akili za wasira na mwigulu ni vumbi tupu kama wanafikia kuwakana hadi watoto wao sembuse Mungu ataacha kuwakana hao funza?......kihama kimewafika
 
Ni jambo lililowazi kuwa CCM hawafanikiwa katika propaganda zao chafu dhidi ya CHADEMA si tu kutokana umahiri wa viongozi wa CHADEMA, bali hata mwenyezi Mungu yuko upande wa mamilioni ya watanzania wanaoteseka na kunyanyasika chini ya utawala huu dhalimu wa CCM.

Mifano ipo mingi ya jinsi Mungu anavyowaumbua hawa watu.Kwa mfano,utajiuliza Mwigulu alikuwa na ulazima gani wa kutamka kwenye TV(Star TV) kuwa anamiliki CD ikiwaonyesha viongozi wa CHADEMA wakipanga mauaji?Jibu ni kwamba mwenyezi Mungu kawanyima maarifa na badala yake wanafanya mambo ambayo mwisho wa siku wanaishia kuumbuka tu.Kauli ile ya Mwigulu ni kosa kubwa kwa mazingira ya sasa ya hii kesi.

Hata mauaji ya Daudi Mwangosi yamefanyika katika mazingira ya kuwaumbua watawala hawa!

Mlolongo wa matukio ya CCM kuumbuka ni mengi na yote ni kwasababu mwenyezi Mungu anawanyima maarifa na si vinginevyo.

Siku zote CCM huwa nawafananisha na wale waliokuwa wajenzi wa "mnara wa babeli" ambao mwenyezi Mungu aliwapiga laana na wakajikuta hawaelewani katika lugha.Tofauti kati yao na hawa CCM ni ndogo tu, badala ya mwenyezi Mungu kuwafanya wasiongee lugha moja, alichokifanya kwa hawa CCM ni kuwanyima maarifa tu.

Mambo wanayoyafanya kwakweli ni ya kipuuzi kanakwamba ni mambo yanayofanywa na watoto wa darasa la kwanza!

CCM hamshindani na CHADEMA bali mnashindana na Mungu!

Swali,je,mtaweza?

Yale yale ya chaguo la Mungu, Ndugu zangu hamchoki kukurupuka?
 
Binafsi naamini uwepo wa chama cha Demokrasia na Maendeleo nchini(CHADEMA) ni matokeo ya mwenyezi Mungu kusikia kilio cha watanzania cha muda mrefu cha kuondokana na utawala wa CCM.

Hii ndio maanana CHADEMA ni tofauti na vyama vingine vyote vya upinzani nchini. Kinahimili misukosuko yote kwa nguvu za Mungu na hakika kitawakomboa watanzania dhidi ya kunyanyaswa, kuibiwa, kudhulumiwa, kuonewa na kila aina ya udhalimu anaoupata mtanzania wa leo.

Ujasiri wa viongozi na wabunge wa CHADEMA ni mpango mahususi wa mwenyezi Mungu kama ilivyokuwa mpango wa Mungu kumtuma Mussa kuwaokoa wana wa Israeli.

Usibishe kabla ya kutafakari kwa makini.

Nawasilisha.
 
Back
Top Bottom