kalagabaho
JF-Expert Member
- Nov 4, 2010
- 5,457
- 5,896
Wauaji wa Mwangosi ni kina nani?
Kwa hiyo wapanga njama za kuua waandishi huwajui au? Subiri lwakatare na Ludovick watataja kila kitu halafu wote mtakimbia humu!
Wauaji wa Mwangosi ni kina nani?
Na mitume wenu ni dj mbowe, mzee wa totos slaa na jambazi Lema.
ha! haa! haaa! unajua kuchekesha kweli wewe! eti siku inakuja haiko mbali! na usiombee ifike maana ikifika Padri slaa atakua ndani siku nyingi kwa kula njama za kuua watanzania wasio na hatia!
The voice of the people is the voice of God. CHADEMA has people
Mwaka 2005 ushindi wa kimbunga 80% miaka mitano baadae ushindi wa kuchakachua 61% piga hesabu 2015 zitakuwa % ngapi?
Ni jambo lililowazi kuwa CCM hawafanikiwa katika propaganda zao chafu dhidi ya CHADEMA si tu kutokana umahiri wa viongozi wa CHADEMA, bali hata mwenyezi Mungu yuko upande wa mamilioni ya watanzania wanaoteseka na kunyanyasika chini ya utawala huu dhalimu wa CCM.
Mifano ipo mingi ya jinsi Mungu anavyowaumbua hawa watu.Kwa mfano,utajiuliza Mwigulu alikuwa na ulazima gani wa kutamka kwenye TV(Star TV) kuwa anamiliki CD ikiwaonyesha viongozi wa CHADEMA wakipanga mauaji?Jibu ni kwamba mwenyezi Mungu kawanyima maarifa na badala yake wanafanya mambo ambayo mwisho wa siku wanaishia kuumbuka tu.Kauli ile ya Mwigulu ni kosa kubwa kwa mazingira ya sasa ya hii kesi.
Hata mauaji ya Daudi Mwangosi yamefanyika katika mazingira ya kuwaumbua watawala hawa!
Mlolongo wa matukio ya CCM kuumbuka ni mengi na yote ni kwasababu mwenyezi Mungu anawanyima maarifa na si vinginevyo.
Siku zote CCM huwa nawafananisha na wale waliokuwa wajenzi wa "mnara wa babeli" ambao mwenyezi Mungu aliwapiga laana na wakajikuta hawaelewani katika lugha.Tofauti kati yao na hawa CCM ni ndogo tu, badala ya mwenyezi Mungu kuwafanya wasiongee lugha moja, alichokifanya kwa hawa CCM ni kuwanyima maarifa tu.
Mambo wanayoyafanya kwakweli ni ya kipuuzi kanakwamba ni mambo yanayofanywa na watoto wa darasa la kwanza!
CCM hamshindani na CHADEMA bali mnashindana na Mungu!
Swali,je,mtaweza?
Na bado wanaendelea kumuamini huyo Mungu anayeshindwa kila siku!...
Huyo Mungu wa Chadema mbona ameshashindwa na kulegea siku nyingi? wee huoni mnavyoaibika?
Mbona huweki asilimia za chama cha wauaji hapa? weka halafu tuanze mjadala!
Huyo Mungu wa Chadema mbona ameshashindwa na kulegea siku nyingi? wee huoni mnavyoaibika?
Na mitume wenu ni dj mbowe, mzee wa totos slaa na jambazi Lema.
Nimeamua kuweka za chama chako kitakachotawala milele, ili uone jinsi gani kabla milele haijatimia kinavyoporomoka kwa kasi, halafu sijajua chama cha wauaji ni kipi.....ufafanuzi mkuu.
Ww ni mbulula No1,yaani kwa akili yako unaona anayeaibika daily ni CHADEMA?Eee MUNGU TUJAALIE VYOTE VILIVYO VYEMA NA VYA KHERI BILA KUSAHAU AKILI,BUSARA NA WEREVU.
Mshikaji utakuwa unamapepo, manake hii ni zaidi ya ushabiki wa ccm. U must be possessed by a demon!
Ni jambo lililowazi kuwa CCM hawafanikiwa katika propaganda zao chafu dhidi ya CHADEMA si tu kutokana umahiri wa viongozi wa CHADEMA, bali hata mwenyezi Mungu yuko upande wa mamilioni ya watanzania wanaoteseka na kunyanyasika chini ya utawala huu dhalimu wa CCM.
Mifano ipo mingi ya jinsi Mungu anavyowaumbua hawa watu.Kwa mfano,utajiuliza Mwigulu alikuwa na ulazima gani wa kutamka kwenye TV(Star TV) kuwa anamiliki CD ikiwaonyesha viongozi wa CHADEMA wakipanga mauaji?Jibu ni kwamba mwenyezi Mungu kawanyima maarifa na badala yake wanafanya mambo ambayo mwisho wa siku wanaishia kuumbuka tu.Kauli ile ya Mwigulu ni kosa kubwa kwa mazingira ya sasa ya hii kesi.
Hata mauaji ya Daudi Mwangosi yamefanyika katika mazingira ya kuwaumbua watawala hawa!
Mlolongo wa matukio ya CCM kuumbuka ni mengi na yote ni kwasababu mwenyezi Mungu anawanyima maarifa na si vinginevyo.
Siku zote CCM huwa nawafananisha na wale waliokuwa wajenzi wa "mnara wa babeli" ambao mwenyezi Mungu aliwapiga laana na wakajikuta hawaelewani katika lugha.Tofauti kati yao na hawa CCM ni ndogo tu, badala ya mwenyezi Mungu kuwafanya wasiongee lugha moja, alichokifanya kwa hawa CCM ni kuwanyima maarifa tu.
Mambo wanayoyafanya kwakweli ni ya kipuuzi kanakwamba ni mambo yanayofanywa na watoto wa darasa la kwanza!
CCM hamshindani na CHADEMA bali mnashindana na Mungu!
Swali,je,mtaweza?
"Usilitaje bure jina la Mungu wako"
sio kuaibika tuu mtaumbuka sana sasa hivi!..halafu mungu huwa hapokei dua za kibw..ge kama hizo wewe