Je, kweli CHADEMA ni mpango wa Mungu?

Je, kweli CHADEMA ni mpango wa Mungu?

Mungu baba mwenyezi alioziumba mbingu na nchi na aliyemuumba Godbless lema ndio Mungu wa CHADEMA.
GOD OF US IS THE OF CHADEMA.


Hivi si ndo huyu mungu wa gwajima na misukule yake, maaskofu na kikwete chaguo la mungu, babu wa mchungaji tapeli wa loliondo, mungu wa matusi wa Lema na sugu ... ndo huyu mungu wako na CDM wenzako. lOOSER
 
Ni jambo lililowazi kuwa CCM hawafanikiwa katika propaganda zao chafu dhidi ya CHADEMA si tu kutokana umahiri wa viongozi wa CHADEMA, bali hata mwenyezi Mungu yuko upande wa mamilioni ya watanzania wanaoteseka na kunyanyasika chini ya utawala huu dhalimu wa CCM.

Mifano ipo mingi ya jinsi Mungu anavyowaumbua hawa watu.Kwa mfano,utajiuliza Mwigulu alikuwa na ulazima gani wa kutamka kwenye TV(Star TV) kuwa anamiliki CD ikiwaonyesha viongozi wa CHADEMA wakipanga mauaji?Jibu ni kwamba mwenyezi Mungu kawanyima maarifa na badala yake wanafanya mambo ambayo mwisho wa siku wanaishia kuumbuka tu.Kauli ile ya Mwigulu ni kosa kubwa kwa mazingira ya sasa ya hii kesi.

Hata mauaji ya Daudi Mwangosi yamefanyika katika mazingira ya kuwaumbua watawala hawa!

Mlolongo wa matukio ya CCM kuumbuka ni mengi na yote ni kwasababu mwenyezi Mungu anawanyima maarifa na si vinginevyo.

Siku zote CCM huwa nawafananisha na wale waliokuwa wajenzi wa "mnara wa babeli" ambao mwenyezi Mungu aliwapiga laana na wakajikuta hawaelewani katika lugha.Tofauti kati yao na hawa CCM ni ndogo tu, badala ya mwenyezi Mungu kuwafanya wasiongee lugha moja, alichokifanya kwa hawa CCM ni kuwanyima maarifa tu.

Mambo wanayoyafanya kwakweli ni ya kipuuzi kanakwamba ni mambo yanayofanywa na watoto wa darasa la kwanza!

CCM hamshindani na CHADEMA bali mnashindana na Mungu!

Swali,je,mtaweza?
 
Duh,'Mungu' anaibiwa kura,anapora mke wa mtu, anasaliti taaluma yake kwa tamaa ya ngono, anasambaratishwa kwenye maandamano, anafadhili mpango wa kuteka na kudhuru. Basi CCM inauwezo mkubwa sana
 
Duh,'Mungu' anaibiwa kura,anapora mke wa mtu, anasaliti taaluma yake kwa tamaa ya ngono, anasambaratishwa kwenye maandamano, anafadhili mpango wa kuteka na kudhuru. Basi CCM inauwezo mkubwa sana
Kama huna hoja, bora ukae kimya!
 
Mungu wa kutengeneza sumu na kuwapa watu wakaue atakuwa mungu wa baali aka chemical ally
 
Duh,'Mungu' anaibiwa kura,anapora mke wa mtu, anasaliti taaluma yake kwa tamaa ya ngono, anasambaratishwa kwenye maandamano, anafadhili mpango wa kuteka na kudhuru. Basi CCM inauwezo mkubwa sana

Upo off target kabisa!
 
Duh,'Mungu' anaibiwa kura,anapora mke wa mtu, anasaliti taaluma yake kwa tamaa ya ngono, anasambaratishwa kwenye maandamano, anafadhili mpango wa kuteka na kudhuru. Basi CCM inauwezo mkubwa sana

Na bado wanaendelea kumuamini huyo Mungu anayeshindwa kila siku!...
 
Ni jambo lililowazi kuwa CCM hawafanikiwa katika propaganda zao chafu dhidi ya CHADEMA si tu kutokana umahiri wa viongozi wa CHADEMA, bali hata mwenyezi Mungu yuko upande wa mamilioni ya watanzania wanaoteseka na kunyanyasika chini ya utawala huu dhalimu wa CCM.

Mifano ipo mingi ya jinsi Mungu anavyowaumbua hawa watu.Kwa mfano,utajiuliza Mwigulu alikuwa na ulazima gani wa kutamka kwenye TV(Star TV) kuwa anamiliki CD ikiwaonyesha viongozi wa CHADEMA wakipanga mauaji?Jibu ni kwamba mwenyezi Mungu kawanyima maarifa na badala yake wanafanya mambo ambayo mwisho wa siku wanaishia kuumbuka tu.Kauli ile ya Mwigulu ni kosa kubwa kwa mazingira ya sasa ya hii kesi.

Hata mauaji ya Daudi Mwangosi yamefanyika katika mazingira ya kuwaumbua watawala hawa!

Mlolongo wa matukio ya CCM kuumbuka ni mengi na yote ni kwasababu mwenyezi Mungu anawanyima maarifa na si vinginevyo.

Siku zote CCM huwa nawafananisha na wale waliokuwa wajenzi wa "mnara wa babeli" ambao mwenyezi Mungu aliwapiga laana na wakajikuta hawaelewani katika lugha.Tofauti kati yao na hawa CCM ni ndogo tu, badala ya mwenyezi Mungu kuwafanya wasiongee lugha moja, alichokifanya kwa hawa CCM ni kuwanyima maarifa tu.

Mambo wanayoyafanya kwakweli ni ya kipuuzi kanakwamba ni mambo yanayofanywa na watoto wa darasa la kwanza!

CCM hamshindani na CHADEMA bali mnashindana na Mungu!

Swali,je,mtaweza?

Huyo Mungu wa Chadema mbona ameshashindwa na kulegea siku nyingi? wee huoni mnavyoaibika?
 
Duh,'Mungu' anaibiwa kura,anapora mke wa mtu, anasaliti taaluma yake kwa tamaa ya ngono, anasambaratishwa kwenye maandamano, anafadhili mpango wa kuteka na kudhuru. Basi CCM inauwezo mkubwa sana

Hata Makaburu walikuwa na kauli za kejeli kama hizi, na sio hao tu mkumbuke pia mpwa wenu Gadafi, lakini mwisho wa siku aibu tupu, usiamini kauli za Nape eti CCM itatawala milele labda imtawale yeye milele lakini sio WATANZANIA......siku inakuja na haiko mbali.
 
Hata Makaburu walikuwa na kauli za kejeli kama hizi, na sio hao tu mkumbuke pia mpwa wenu Gadafi, lakini mwisho wa siku aibu tupu, usiamini kauli za Nape eti CCM itatawala milele labda imtawale yeye milele lakini sio WATANZANIA......siku inakuja na haiko mbali.

ha! haa! haaa! unajua kuchekesha kweli wewe! eti siku inakuja haiko mbali! na usiombee ifike maana ikifika Padri slaa atakua ndani siku nyingi kwa kula njama za kuua watanzania wasio na hatia!
 
Na mitume wenu ni dj mbowe, mzee wa totos slaa na jambazi Lema.
 
Back
Top Bottom