Je, kweli CHADEMA ni mpango wa Mungu?

Je, kweli CHADEMA ni mpango wa Mungu?

maseto naona cdm wamekugusa mpaka umeogopa pale jina la mwenyezi mungu, mungu wa ibrahimu, isaka na yakobo linapotajwa; nguvu za giza ulizonazo zinapotea zote. Pole sana. Hakika cdm wana mungu wakati ccm wana fedha na uchawi; hizi ni nguvu mbili ambazo haziwezi kukaa sehemu moja. Lazima moja ikimbie. Hivyo bwana maseto najua ulivurumishwa na nguvu ya cdm waliposema "sisi tuna mungu" hivyo una-appeal ili wakati mwingine upate upenyo wa kuwadhuru cdm. Nakukemea katika jina la mungu aliye umba mbingu na nchi.

amina!amina"amina!
 
wewe ni ama huna dini au imani yako imeparalyse, kila jambo unapaswa kumshikisha mungu ili akusaidia, wewe unataka wamtaje kondoo?
 
kumbe hujajua kwanini cc chadema tunamwomba Mungu,this is becoz chama che2 ni cha kanisa, na ndiyo maana kwenye mikutano ye2 ha2kosi maaskofu wawili wa3.

hivi waislamu hawamwogopi mungu du hii kali
 
Hivi kweli Mungu aliyeumba mbingu na ardhi unaweza kumshinda kwa fitina? Au Jaji Gabriel Rwakibarila ana nguvu kuzidi mungu?


Mambo mengine mungu huruhusu yatokee ili ukuu wake ujidhilishe katika muda muafaka
 
Mungu ni kichaka cha wazembe na wanaotaka ku manipulate wenzao.

God hater and worker of iniquity bado unatokwa povu? Kumbe bado Mungu anakunyima usingizi wee God Hater!!!! Ha ha ha ha ha ha ha ha. I pity your husband.
 
Yote yamedhihirika kilichobaki ni CDM kutembea na Kwaya kwenye majukwaa tu! Wacheze ndomboro ya Yesu na disco la Yesu! Wasio na macho waanze kuazima maana mambo yapo karibu!

CHADEMA haisilimishi wala kubatiza,bali CDM ina siafisha na ku-patriotize.Ndio maana CDM kuna Arfi&Vincent,Zuberi Z&John,Prof Safari&Dr Wilibrod,Mwanamrisho&Christina etc etc.FIKRA ZAKO POTOFU KAFE NAZO HUKO MBALI.
 
Kwa siku za karibun, Nimekuwa nikifuatilia kwa umakin sana maneno yanayozungumzwa na viongozi wa Chadema kwenye mikutano na kugundua kuwa wamekuwa wakimtaja Mungu mara kwa mara.wanaonekana kutuaminisha kuwa kila wanachofanya wanatumia nguvu za mungu.Mungu hatumiwi kwa namna hiyo.MUNGU ANA MAHALI PAKE PA KUMTAJA TAJA.Itafika wakati mtu akiruhusu kuwa tegemiz sana kwa Mungu hukosa uwezo wa kujituma ktk kufanikisha jambo eti Mungu hajamjalia.Mungu husingiziwa kwa kila dosari au mafanikio.nashauri ktk majukwaa Mungu asitajwe kihivyo na chadema.tuige mfano wa MWALIMU NYERERE alikuwa mhudhuriaji sana ibada lakini ktk majukwaa ya kisiasa hakumtaja Mungu.


HUtaki Mungu atukuizwe???
Hutaki Mungu ashukuriwe?
Nasari alianza kwa kumtanguliza Mungu, na amemaqliza na Mungu.
Kumbuka mfano wa Yesu na wale wakoma kumi.
292179_364412413601976_100000996620706_1071487_920728393_n.jpg
 
Kwa siku za karibun, Nimekuwa nikifuatilia kwa umakin sana maneno yanayozungumzwa na viongozi wa Chadema kwenye mikutano na kugundua kuwa wamekuwa wakimtaja Mungu mara kwa mara.wanaonekana kutuaminisha kuwa kila wanachofanya wanatumia nguvu za mungu.Mungu hatumiwi kwa namna hiyo.MUNGU ANA MAHALI PAKE PA KUMTAJA TAJA.Itafika wakati mtu akiruhusu kuwa tegemiz sana kwa Mungu hukosa uwezo wa kujituma ktk kufanikisha jambo eti Mungu hajamjalia.Mungu husingiziwa kwa kila dosari au mafanikio.nashauri ktk majukwaa Mungu asitajwe kihivyo na chadema.tuige mfano wa MWALIMU NYERERE alikuwa mhudhuriaji sana ibada lakini ktk majukwaa ya kisiasa hakumtaja Mungu.

Haya ndiyo matokeo ya kukipenda chama cha CDM bila kujua sera wala itikadi zake.

Je CDM ni chama cha kutekeleza Amri kumi za Mungu?
Je ni chama cha Maaskofu?

Mtoa mada atutajie vyama Kama CDM duniani "vinavyomilikiwa" na Mungu.

Kiufupi, huku ndio kutokomaa kisiasa, na sera za Chama Kikuu cha upinzani hazijulikani, hivyo kila mtu kuwa na tafsiri Yake ya na na ya kuiongoza Tanzania.

Pengine wazo Zuri zaidi ni KKKT wawe na chama chao,Catholics Wawe na Chao, BaKWATA cha kwao na Mabohora vile vile wawe na chama chao.

Hapo ndo utelewa muflisi wa wazo hili.
 
Jamani nyie pro-ccm mbona mmefika mbali sana kiasi hiki? Jana 2 hapo mlikuwa mnaipinga CHADEMA na sasa mmeanza kumpinga na mungu? Kazi kweli kweli au mna mapepo? Au mnataka tumsifie maji marefu na kuyatukuza matambiko ya jembe lenu la ukweli kamanda shehk yahya? Au tumsifie prezdaa Lusinde?
Mungu awaponye pro-ccm.
 
Mjue kuna watu wameendelea sana kifikra siku hizi hawaamini tena?

Ina maana hawawezi kuwa wanachama wa CDM?
 
Mungu asipojenga nyumba yake, ajengaye anafanya kazi bure!!! Chadema wapo sahihi.
 
Back
Top Bottom