Je, kweli CHADEMA ni mpango wa Mungu?

Je, kweli CHADEMA ni mpango wa Mungu?

Wakuu naomba tuzidi kukiombea CHADEMA kwa Mola kisonge mbele wala wasikatishwe tamaa. Sisi wote tupo hapa kwa mapenzi yake Mola. Siku yeyote akiamua Mola hakuna wa kumpinga.

CHADEMA ombeni mpaka Mola atapokea sala zenu. Leo nimeenda kanisani kuombea nchi yetu ili iwe na amani na pia Mungu amsaidie Rais wetu katika maamuzi ya kuongoza watanzania asiburuzwe na mafisadi.

Pasaka njema wanaJF.
 
Kabla hatujahoji Mungu atayetajwa na CDM, tujue Mungu:
-wanasali bungeni ni yupi
-tunayeimba kwenye national anthem
-anayetajwa kila mwisho wa hotuba ya rais n.k

Tunajadili jambo lisilotujenga na kutushikamanisha! Sioni tatizo la wafanyacho CDM, maana Mungu anahusika sana na taifa letu

Mkuu pokea likes zangu kama mia hivi. Enyi wanafiki naomba mjibu kwanza hiyo hoja hapo juu ili twende sawa. Toeni kwanza maboriti yaliyowajaa ndipo muone vibanzi vya wenzenu enyi wanafiki!

Leo hii Chadema au kundi lingine lolote kumtaja Mungu imekuwa kosa wakati Serikalini na Bungeni wanafanya hayo? Unafiki huu utatufikisha wapi enyi wajameni? Mbona unafiki ndio imekuwa style yetu ya maisha ya kisiasa badala ya kuuona na kuukubali ukweli kama ulivyo? Hila hizi za kipuuzi zinatupeleka wapi?

Mungu ni Mungu wa wote na ana haki ya kutajwa na yeyote katika kazi iliyo njema kwa taifa letu - si Mungu wa Bunge, Serikali, Rais, au mwingine yeyote! Hata Mungu naye mwataka kumhodhi?

Au naye ni miongoni mwa "alama za taifa" ambazo hutumiwa na wakuu tu? Mola apishe mbali hili lisitokee! Pandeni mkampe rushwa kama mnaweza!
 
Mbona huyu mungu wa Chadema kakubali Lema kuvuliwa ubunge inanipa tabu kidogo kuleta ulokole kwenye mambo ya siasa.

kama jambo hujui ritz si ukae kimya tu,au unataka uonekana unajua sana kuchangia
 
mshirikishe bwana mungu wako kwa kila jambo...na kila ufanikiwapo mshuhudie popote pale uwezapo..CHADEMA BILA MUNGU HAWAWEZI!!!!
 
Kama ww sio shetani basi utakua mchawi...i cant believe this!!!!!!,, ninawaombeni hoja za mungu tuziahirishe kwa sababu bado wengine tuna kumbukumbu ya mateso na kifo cha kristu.
 
Kuna siku nilisikia JK katika hotoba zake akimtaja 'MTUME'.
 
Kama ww sio shetani basi utakua mchawi...i cant believe this!!!!!!,, ninawaombeni hoja za mungu tuziahirishe kwa sababu bado wengine tuna kumbukumbu ya mateso na kifo cha kristu.
Sijawahi kupita kwenye issue yoyote inayohusu CDM nikakosa haya maneno yakitajwa....
Kuna watu wengi sana wenye imani tofaut wanashindwa kukijoin CDM kwa sababu ya udini wao
 
Sikushangai... Wewe si huamini kama mungu yupo vinginevyo mngeacha ufisadi.
mungu na ufisadi wapi na wapi? Kumbuka wezi, majambazi, mafisadi ndio watoa sadaka wakuu makanisani na misikitini. Unataka kusema na wao hawana mungu?
 
CHADEMA ndiyo chama cha YESU! Like it or hate it, it is official!
 
Mungu baba mwenyezi alioziumba mbingu na nchi na aliyemuumba Godbless lema ndio Mungu wa CHADEMA.
GOD OF US IS THE OF CHADEMA.
 
Mungu baba mwenyezi alioziumba mbingu na nchi na aliyemuumba Godbless lema ndio Mungu wa CHADEMA.
GOD OF US IS THE OF CHADEMA.

Mungu huyo huyo ndio Mungu wa CUF, CCM, NCCR Mageuzi na vyama vingine.
 
Maseto naona CDM wamekugusa mpaka umeogopa pale Jina la Mwenyezi Mungu, Mungu wa Ibrahimu, Isaka na Yakobo linapotajwa; nguvu za giza ulizonazo zinapotea zote. Pole sana. Hakika CDM wana Mungu wakati CCM wana Fedha na Uchawi; Hizi ni nguvu mbili ambazo haziwezi kukaa sehemu moja. LAZIMA moja ikimbie. Hivyo Bwana Maseto najua ulivurumishwa na nguvu ya CDM waliposema "SISI TUNA MUNGU" hivyo una-appeal ili wakati mwingine upate upenyo wa kuwadhuru CDM. Nakukemea katika jina la Mungu aliye Umba Mbingu na Nchi.
 
Kwa siku za karibun, Nimekuwa nikifuatilia kwa umakin sana maneno yanayozungumzwa na viongozi wa Chadema kwenye mikutano na kugundua kuwa wamekuwa wakimtaja Mungu mara kwa mara.wanaonekana kutuaminisha kuwa kila wanachofanya wanatumia nguvu za mungu.Mungu hatumiwi kwa namna hiyo.MUNGU ANA MAHALI PAKE PA KUMTAJA TAJA.Itafika wakati mtu akiruhusu kuwa tegemiz sana kwa Mungu hukosa uwezo wa kujituma ktk kufanikisha jambo eti Mungu hajamjalia.Mungu husingiziwa kwa kila dosari au mafanikio.nashauri ktk majukwaa Mungu asitajwe kihivyo na chadema.tuige mfano wa MWALIMU NYERERE alikuwa mhudhuriaji sana ibada lakini ktk majukwaa ya kisiasa hakumtaja Mungu.

Bungeni huwa wanafanya nini kabla ya kuanza session ya Bunge? Huwa hawaanzi kwa kumtaja Mungu?
 
Hivi mmeichoka amani ya kuvumiliana kiimani? mtu anayetukuza masuala ya udini,ukabila, ukanda wa mukama tumwogope kama ukoma hatufai.hivi hizi dini zenu zinawarahisishia kwenye kututoa kwenye dimbwi la umaskini na ukandamizaji? lakini Mungu ni wa wote. Chadema mtumieni kwa kadri itakavyowezekana waache magamba wawatuie akina long water ambao wameshindwa Arumeru ila Mungu ameshinda.
 
Kwa siku za karibun, Nimekuwa nikifuatilia kwa umakin sana maneno yanayozungumzwa na viongozi wa Chadema kwenye mikutano na kugundua kuwa wamekuwa wakimtaja Mungu mara kwa mara.wanaonekana kutuaminisha kuwa kila wanachofanya wanatumia nguvu za mungu.Mungu hatumiwi kwa namna hiyo.MUNGU ANA MAHALI PAKE PA KUMTAJA TAJA.Itafika wakati mtu akiruhusu kuwa tegemiz sana kwa Mungu hukosa uwezo wa kujituma ktk kufanikisha jambo eti Mungu hajamjalia.Mungu husingiziwa kwa kila dosari au mafanikio.nashauri ktk majukwaa Mungu asitajwe kihivyo na chadema.tuige mfano wa MWALIMU NYERERE alikuwa mhudhuriaji sana ibada lakini ktk majukwaa ya kisiasa hakumtaja Mungu.
Hoja mfu!
 
Back
Top Bottom