Kama hauna ushahidi si busara kutoa tuhuma nzito kama hizo Mkuu.Haina haja ya kwenda Mahakamani,Mkuu,..
kwetu sisi yashatushia tumemuachia Mungu, kama kawaida yetu..
Endeleeni kutawala..
Kama unaushahidi unawahi chap mahakamani Mkuu.
Mkuu,hizi sio tuhuma,huu ni ukweli kila Mzanzibari anaujua kila Mtanzania anaujua..Kama hauna ushahidi si busara kutoa tuhuma nzito kama hizo Mkuu.
What do you smoke over there? Urais umemkubali, ndio nini hasa? unajuaje kama mtu uraisi umemkubali, unampima mtu kivipi? Unachovuta kimeanza kukuathiri kiakili.Naona kama vile Urais wa Zanzibar ulikuwa unamsubiria kwa hamu Dkt. Hussein Ally Mwinyi kutokana na kwamba 'umempendeza' na 'unampendeza' halafu ameuvaa na wenyewe pia umemvaa vyema na kwa haraka sana kuliko hata 'Marais' wengine waliomtangulia. Watangulizi wake wengi 'Urais' wa Zanzibar ilionekana kama vile walikuwa 'wameubaka' tu na wenyewe ulikuwa 'hauwataki' kabisa.
Je, ni kwanini 'Urais' umemkubali kwa haraka mno Rais Dkt. Hussein Mwinyi? Je, tuanze sasa kuamini kuwa 'Urais' ni Zawadi yake Mwenyezi Mungu kwa Watu wake 'Maalum' tu? Sijajua pia kama na Waziri Mkuu mmoja nae ikitokea akaachiwa 'Zigo' zito na gumu la Tanzania Bara hapo 2025 na 'Mkemia' wa Geita nae 'utampendeza' na 'kumkubali' kwa haraka kama wa Visiwani Zanzibar
Pbz kinazini, Sijui Kama inaitwa Benki kuu au Benki ya Zanzibar,mtajijua Wenyewe"Benki Kuu ya Zanzibar" imeundwa lini hii Mkuu.
Kama upo confident na ushahidi wako Mahakama zipo Mkuu.
Sababu anaelewa anatakiwa kufanya nini. Maneno hayalipiwi ila vitendoNaona kama vile Urais wa Zanzibar ulikuwa unamsubiria kwa hamu Dkt. Hussein Ally Mwinyi kutokana na kwamba 'umempendeza' na 'unampendeza' halafu ameuvaa na wenyewe pia umemvaa vyema na kwa haraka sana kuliko hata 'Marais' wengine waliomtangulia. Watangulizi wake wengi 'Urais' wa Zanzibar ilionekana kama vile walikuwa 'wameubaka' tu na wenyewe ulikuwa 'hauwataki' kabisa.
Je, ni kwanini 'Urais' umemkubali kwa haraka mno Rais Dkt. Hussein Mwinyi? Je, tuanze sasa kuamini kuwa 'Urais' ni Zawadi yake Mwenyezi Mungu kwa Watu wake 'Maalum' tu? Sijajua pia kama na Waziri Mkuu mmoja nae ikitokea akaachiwa 'Zigo' zito na gumu la Tanzania Bara hapo 2025 na 'Mkemia' wa Geita nae 'utampendeza' na 'kumkubali' kwa haraka kama wa Visiwani Zanzibar.
Usidhani kwakuwa Wewe ni 'Shoga' basi kila Mtu hapa JF 'Mawazo' yake kila mara yanakuwa ni ya 'Kinyabenga' tu. Nenda 'Kanyabeliwe' zako huko.Kuanza kumsifia mwanaume mwenzio na kumtamani inaanza kutupa shida. Pole sana.
Wewe ndio shoga , musoma yote tunakufahamu na hata shughuli zako za ujuaji hapua Dar ni ushoga na kujipendekeza. Tutarusha picha zako ufahamike. Snitch mkubwa kumbe huna unachojua mkwaya wewe.Usidhani kwakuwa Wewe ni 'Shoga' basi kila Mtu hapa JF 'Mawazo' yake kila mara yanakuwa ni ya 'Kinyabenga' tu. Nenda 'Kanyabeliwe' zako huko.