Je, kwa siku, week au mwezi April 2025 kuna Matamshi Mabaya ambayo Mdude aliyasema?Labda tuanzie hapo inaumiza sana

Je, kwa siku, week au mwezi April 2025 kuna Matamshi Mabaya ambayo Mdude aliyasema?Labda tuanzie hapo inaumiza sana

Brain Kingdom

JF-Expert Member
Joined
Nov 10, 2022
Posts
7,004
Reaction score
14,551
Ndugu wadau wote wapenda amani naomba msaada wa post yoyote iwe maandishi au video ya mdude ambayo ilipelekea kutafutwa ama kuuliziwa na Afande Shabani na Afande Veda.

Tafadhari itusaidie kujua chagizo la kupelekea hadi kuvunjiwa mageti na milango ili wampate.

Tafadhari ndugu zangu si kwa Ubaya recently sikupata kumsikia mdude akitrend kwa Matamshi Mabaya.

Natanguliza shukrani

Mungu ni wetu sote na habagui, yeye ni WA Jana, Leo , kesho na hata milele na ni yeye tu ajuaye yote
 
Ndugu wadau wote wapenda amani naomba msaada wa post yoyote iwe maandishi au video ya mdude ambayo ilipelekea kutafutwa ama kuuliziwa na Afande Shabani na Afande Veda.

Tafadhari itusaidie kujua chagizo la kupelekea hadi kuvunjiwa mageti na milango ili wampate.

Tafadhari ndugu zangu si kwa Ubaya recently sikupata kumsikia mdude akitrend kwa Matamshi Mabaya.

Natanguliza shukrani

Mungu ni wetu sote na habagui, yeye ni WA Jana, Leo , kesho na hata milele na ni yeye tu ajuaye yote

Pa kuanzia ni kuachiwa huru akiwa mzima wa afya.

Hii iwahusu pia Soka na wote mliowapoteza.

Utekaji wa binadamu yeyote ni kinyume cha utaratibu!
 
Ndugu wadau wote wapenda amani naomba msaada wa post yoyote iwe maandishi au video ya mdude ambayo ilipelekea kutafutwa ama kuuliziwa na Afande Shabani na Afande Veda.

Tafadhari itusaidie kujua chagizo la kupelekea hadi kuvunjiwa mageti na milango ili wampate.

Tafadhari ndugu zangu si kwa Ubaya recently sikupata kumsikia mdude akitrend kwa Matamshi Mabaya.

Natanguliza shukrani

Mungu ni wetu sote na habagui, yeye ni WA Jana, Leo , kesho na hata milele na ni yeye tu ajuaye yote
Nyege Tu za Wapumbavu wa CCM. Siku Yao inakuja.
 
Pa kuanzia ni kuachiwa huru akiwa mzima wa afya.

Hii iwahusu pia Soka na wote mliowapoteza.

Utekaji wa binadamu yeyote ni kinyume cha utaratibu!

Halafu sheria zinasema wahalifu wakamatwe na kufikishwa vyombo vya sheria. Ina maana kumteka mtu nako ni kosa sababu hatapewa nafasi ya kufikishwa kwenye vyombo vya sherai, ili haki itendeke
 
Halafu sheria zinasema wahalifu wakamatwe na kufikishwa vyombo vya sheria. Ina maana kumteka mtu nako ni kosa sababu hatapewa nafasi ya kufikishwa kwenye vyombo vya sherai, ili haki itendeke

Mwamba anapima maji kuona namna ya kuhalalisha dhuluma zao.

Kwao kupoteza watu ni kazi kama ukulima au ufugaji. Wanashangaa kwa nini wanapigiwa ukelele.

Maajabu ya Mussa!
 
Mwamba anapima maji kuona namna ya kuhalalisha dhuluma zao.

Kwao kupoteza watu ni kazi kama ukulima au ufugaji. Wanashangaa kwa nini wanapigiwa ukelele.

Maajabu ya Mussa!

Katiba inaruhusu watu kutoa maoni. Lakini watu hawataki kusikia maoni ya mtu yoyote. Tuwasikilize wao tu.
Anyway, ndio yetu Africa
 
Katiba inaruhusu watu kutoa maoni. Lakini watu hawataki kusikia maoni ya mtu yoyote. Tuwasikilize wao tu.
Anyway, ndio yetu Africa

Uzuri ni kuwa ng'ombe wa mama Kila wakifungua mdomo wanazidi kuyakoroga:

Screenshot_20250306-183123_1.jpg


Ngoja safari ya kwenda kumtafuta Mdude Mbeya iive ndipo watakapo gundua kung'ang'ania madarakani ndipo watakagundua wamechelewa hizi si zama za mwamba.

Tua Ngoma au nasema uongo?
 
Ndugu wadau wote wapenda amani naomba msaada wa post yoyote iwe maandishi au video ya mdude ambayo ilipelekea kutafutwa ama kuuliziwa na Afande Shabani na Afande Veda.

Tafadhari itusaidie kujua chagizo la kupelekea hadi kuvunjiwa mageti na milango ili wampate.

Tafadhari ndugu zangu si kwa Ubaya recently sikupata kumsikia mdude akitrend kwa Matamshi Mabaya.

Natanguliza shukrani

Mungu ni wetu sote na habagui, yeye ni WA Jana, Leo , kesho na hata milele na ni yeye tu ajuaye yote
Mwana kılıfında
 
Back
Top Bottom