Hazchem plate
JF-Expert Member
- Feb 25, 2011
- 11,045
- 15,379
Una kichwa kigumu sana kuelewa.. ebu soma tena comment yangu..
Usinijibu mm, mjibu mwenye mada apate pete anayohitaji.
Ujuaji wako haunisaidii. Msaada wako ambae ww ni muelewa uelekeze kwa mtoa mada. nafikili mchango wako utakua na tija sana kwenye huu uzi