Equation x
JF-Expert Member
- Sep 3, 2017
- 37,340
- 56,051
- Thread starter
- #21
Ni kitu gani kinatufanya tuchanganyikiwe?Ukiendelea hivo hivo hata serikali itajua kabisa wananchi wake wamechanganyikiwa
Ni kitu gani kinatufanya tuchanganyikiwe?Ukiendelea hivo hivo hata serikali itajua kabisa wananchi wake wamechanganyikiwa
Kwa mazingira haya, mtoto ni 'asset' au 'liability'?Nafikiri kuzaa ni hitaji Ila unabidi kuzaa watoto ambao unao-wamudu na kimkakati .
Maana dunia ya sasa IPO simplified I term of technology , hivyo inahitaji watu wachache Ila ambao wapo well occupied and visionary.
Ikiwa utaangalia Sana waweza kuzaa mtoto aje aendeleze kile ulichonacho na siyo mtoto aje awe ur game changer.
Kwakuwa I have some experience MTU mmoja alizaa 17 kids Ila hakuwapa Elimu wala skills zozote at the end wototo wote 17 wamekuwa broke financially na unproductive.
Kuhusu hofu ya kusaidiwa uzeeni kikubwa ni kufocus ukiingia uzee uwe na affordability ya kupata BIMA na msaidizi ambaye atakuwa in ur payroll all over the living days.
Je, inawezekana ata kuzaliwa kwetu ilitokea tu bila kupangiliwa?Wewe unaliona hilo likiwezekana?
Kwamba wakati wanafanya tendo manii ziende kwenye fahamu za mama yako na baba yako kuwaambia “mimi sitaki kwenda huko dunian”,unaona ikiwezekana hii?
Kwa hiyo, watoto wanaopatikana hapo wanakuwa hawakutegemewa?Hapana mkuu wengi tunaoa ili tunyqdue tu
Mtoto ni Asset MkuuKwa mazingira haya, mtoto ni 'asset' au 'liability'?
Ikitokea wanandoa wakakosa uwezo wa kuzaa, je hiyo ndoa ivunjike?Sio tu la msingi, ni hitaji hadi la ukita na paa. Unaingia kwenye ndoa iweje sasa? Kuzaa ndo matokeo tarajiwa na. 1
Aliyekwambia dunia inahitaji watu ni nani?Wazazi wasingeleta watu duniani hata dunia isingekuwepo.
Je ni sahihi kutengeneza tegemezi?Kuzaa katika ndoa ni kama maua kwenye bustani si lazima uyapande ili bustani iwepo, lakini yakiwepo huifanya bustani ipendeze zaidi. Hivyo kupata watoto ni jambo la heshima na baraka, lakini si sharti kwa ndoa/wanandoa.
Unahisi hii inaweza kuwa sababu ya msingi kwa wengine kuzaa mtoto mmoja au kutozaa kabisa?KUZAA NI KUPOTEZA NGUVU ZA KIUME BURE TUU!HAKUNA UMUHIMU WA KUZAAZAA,tena kwenye ndoa hakuna umuhimu kabisa ya kuwa na watoto kwani watoto watawazuia wewe na mkeo kula bata😎
Hakuna mwisho wa Dunia.Kwa hiyo, kizazi cha leo kinaweza kuamua kuhitimisha mwisho wa dunia kama hawatozaa?
Hoja yako ina mashiko, kwa hiyo kuliko kuzaa na kuingia gharama, unashauri ni bora mtu ajiwekeze yeye mwenyewe kwa miaka ya baadaye?Hapo uliposema '' wanakuwa na mji wao '' ni jambo la kufikirisha sana ,tena ni ujinga nkubwa...Leo mtoto wake akishakuwa basi anakuwa na mwenza wake ,wanakuwa karibu kuliko wewe ,kikubwa familia yake imekula sio wewe mzee..
Kimahesabu , mtoto mpaka amalize chuo ni miaka 22 na kuendelea ,sasa wewe miaka 20 unapambania mtoto ambaye hajaanza kijitegemea hapo lazima sura yako ipate makunyazi ..Mpaka akishaanza kujitegemea wewe ushapotea kabisa ,umeshakuwa mzee hauna tena bata unasubiria kufa tu.
Kwa mtazamo wako, unashauri tuzae kwa wingi ili tuwe na 'asset' nyingi?Mtoto ni Asset Mkuu
Hapo wamekosa na iko nje ya uwezo wao, ndoa iendeleeIkitokea wanandoa wakakosa uwezo wa kuzaa, je hiyo ndoa ivunjike?
Asilimia nyingi hatuoi kwa faida ya watoto sikuhizi tunaangalia nyashi na sura vigezo vingine vilikuwa vya wazeeKwa hiyo, watoto wanaopatikana hapo wanakuwa hawakutegemewa?
Ume maanisha nini kimantiki?Je ni sahihi kutengeneza tegemezi?
Hao tunaowaleta wanakuja kutumia rasilimali zetu, wao hawazalishi zaidi ya kutumia.Ume maanisha nini kimantiki?