kbm
JF-Expert Member
- Oct 5, 2012
- 5,222
- 1,670
serikali kupitia kwa Dk Husein Mwinyi' amesema wanaume 287,055 nchini wamepatiwa huduma ya tohara kwa kipindi cha miaka miwili. Amesema ni sehemu ya mkakati wa kupambana na maambukizi ya Ukimwi. Je ni kweli kuwa wanaume ambao hawajatahiriwa ni rahisi kupata maambukizi ya VVU na ukimwi? Naomba wadau wenye utaalam wa masuala ya afya na mahusiano wasaidie kutuelimisha kuhusu tohara na Ukimwi. Mimi ninavyofahamu kuwa unaambukizwa kwa kufanya ngono au uzinzi na usherati. My take: Inaingilianaje na kutahiri au kutotahiriwa?