Simama na wewe na mashoga wa kichina ambao tayar mmeshawapa nchiKusimama na hao mashoga wazungu ndio nani aumie. Yaani kuna watu wana mentality ya ovyo sana. Au kusimama na hao wazungu ndio unaona issue hata kama lissu anaahidi kuwapa nchi akiwa rais?!
😂😂😂😂hahahahhaha
😂😂Hadi picha inawepeleka watu puta!
I am worried for my nation
Watu wanacho shangaa mgonjwa hajapona tayari kazungukwa na Mabeberu!!Hadi picha inawepeleka watu puta!
I am worried for my nation
Watu wanacho shangaa mgonjwa hajapona tayari kazungukwa na Mabeberu!!
Sent using Jamii Forums mobile app
Mimi naona TL akiwa na wazungu wanne akiwa amesimama bila kushikilia magongo. Zaidi hapo sioni.Sijaelewa mkuu "Mmawia" picha hii Ina Nini hasa!?
Kwani chuki ipo au haipo na kama ipo, ipo kwa kina nani?
wakati ukuta.
Mimi naona TL akiwa na wazungu wanne akiwa amesimama bila kushikilia magongo. Zaidi hapo sioni.
Lisu alisema anataka serikali isisaidiwe chochote na Wahisani,Chakushangaza kabla wahisani hawajazuia misaada kwa serikali tayari yeyeLisu anaomba misaada kwa Watanzania walewale ambao ame kataa isi saidiwe na wahisani.1. Ukiwa na maarifa na ufahamu mkubwa Wa kuhoji masuala mbalimbali ƴa nchi na taifa, CCM watasemai wewe si raia, umetumwa, msaliti, unachafua nchi, si mzalendo. Na huongea haya huku wamekunja nyuso zao ƙuashiria kuwa wako tayari kutoa roho watu kisa mnatofautiana mawazo na mitazamo!
Lisu alisema anataka serikali isisaidiwe chochote na Wahisani,Chakushangaza kabla wahisani hawajazuia misaada kwa serikali tayari yeyeLisu anaomba misaada kwa Watanzania walewale ambao ame kataa isi saidiwe na wahisani.
Sasa cha kujiuliza kama nchi ikinyimwa iyo misaada ya maendeleo anaye athililika si mwananchi ambaye Lisu anaomba wamsaidie kumchangia ada za watoto?
Sent using Jamii Forums mobile app
1. Ukiwa na maarifa na ufahamu mkubwa Wa kuhoji masuala mbalimbali ƴa nchi na taifa, CCM watasemai wewe si raia, umetumwa, msaliti, unachafua nchi, si mzalendo. Na huongea haya huku wamekunja nyuso zao ƙuashiria kuwa wako tayari kutoa roho watu kisa mnatofautiana mawazo na mitazamo!
1. Ukiwa na maarifa na ufahamu mkubwa Wa kuhoji masuala mbalimbali ƴa nchi na taifa, CCM watasemai wewe si raia, umetumwa, msaliti, unachafua nchi, si mzalendo. Na huongea haya huku wamekunja nyuso zao ƙuashiria kuwa wako tayari kutoa roho watu kisa mnatofautiana mawazo na mitazamo!
Una matatizo makubwa kichwani kwako kuliko Chakubanga. Mtu kupiga picha na mzungu imekuwa dili kwako. Imbecile!Huwezi kuisoma hiyo picha maana akili zako kazishikiria chakubanga
In God we Trust