Shida yenu washabiki wa TL mtaka kila anachofanya hata akipiga picha iwe habari. Nyie na wale washabiki wa mpinzani mkuu wa TL hamna tofauti vichwani mwenu.Vua kwanza hiyo miwani ƴa kijani utaona vizuri!
Shida yenu washabiki wa TL mtaka kila anachofanya hata akipiga picha iwe habari. Nyie na wale washabiki wa mpinzani mkuu wa TL hamna tofauti vichwani mwenu.Vua kwanza hiyo miwani ƴa kijani utaona vizuri!
Shida yenu washabiki wa TL mtaka kila anachofanya hata akipiga picha iwe habari. Nyie na wale washabiki wa mpinzani mkuu wa TL hamna tofauti vichwani mwenu.
Ukiwa muabudu Jiwe, akili yako ni ƙusifu na kuabidu Jiwe tu!
Hata ukisema huna upande, ni unafiki tu huo, labda kama hujitambui tu!
Ya hovyo yaseme na uungane na wapinga ɗhuluma. Kwa taarifa ƴako picha huongea mara elfu kuliko maneno!
Ndiyo maana Lisu akasema, "Ukiwaangalia utadhani wana akili!!!!"1. Ukiwa na maarifa na ufahamu mkubwa Wa kuhoji masuala mbalimbali ƴa nchi na taifa, CCM watasemai wewe si raia, umetumwa, msaliti, unachafua nchi, si mzalendo. Na huongea haya huku wamekunja nyuso zao ƙuashiria kuwa wako tayari kutoa roho watu kisa mnatofautiana mawazo na mitazamo!
Ni uzao wa ibilisi.Mi najiuliza hivi kwa nini CCM ni watu wenye chuki na wakatlli hivƴo!! Nashindwa kupata jibu!