Wong Fei
JF-Expert Member
- Apr 13, 2016
- 4,817
- 6,442
Mkuu km haujalipa mahari nenda ukalipe hata nusu.Msiba ni ishu sana mkuu tena mpendwa wako mbona utatamani uingie kaburini wewe? ila naona wazaz wanaojitambua sio fresh kususia msiba wa mwanao haisaidi chochote zaid ya kuiabisha maiti na kumumiza mme tuu, wazaz wenye kaliba hii ni hatar mno
Haya mambo yasikie tu