Bujibuji Simba Nyamaume
JF-Expert Member
- Feb 4, 2009
- 74,894
- 155,917
Ndoa nyingi za Kiafrika huambatana na mahari, ambapo mwanaume hupangiwa vitu vya kuwapelekea wazazi wa mwanamke ikiwa kama asante au shukrani ya kumlea binti vyema.
Mahari inatofautiana lati ya jamii moja na nyingine. Wasukuma hutoa ng'ombe wengi zaidi kwa binti mweupe.
KWENYE dunia ya leo ambapo usawa wa kijinsia unahubiriwa je, kuna haja ya kuendeleza utamaduni wa kulipa mahari?
Mahari inatofautiana lati ya jamii moja na nyingine. Wasukuma hutoa ng'ombe wengi zaidi kwa binti mweupe.
KWENYE dunia ya leo ambapo usawa wa kijinsia unahubiriwa je, kuna haja ya kuendeleza utamaduni wa kulipa mahari?