Mhafidhina07
JF-Expert Member
- Aug 1, 2014
- 2,597
- 3,083
salaam
leo katika harakati zangu za kujiongezea maarifa nimeshika kitabu kimoja cha jamaa anaitwa Murphy Joseph jina la kitabu power of subconscious mind ndani ya kitabu ameeleza mambo mengi ya kuihusu subconscious mind na kufanya comparison conscious mind.
Kuna mifano mingi jinsi ya subconscious mind inavyofanya kazi moja mfano alielezea kuwa kuna ndugu yake ambaye alipatwa na ugonjwa hatari ,ugonjwa ambao ulimpelekea umauti na kwa anavyoamini kuwa chanzo cha kifo ni ile hofu ya maneno ya daktari kuwa aliambiwa kuwa hatopona na huenda mwezi mmoja akafariki na hatimae jamaa before mwezi alifariki.
ingawaje ni kweli nguvu ya subconscious mind ni kubwa na inaweza kuleta mambo hasi au chanya ikiwa utafikiria hivyo kwani hata wanazengo walinena"aliwazalo mjinga ndiyo humtokea" lakini pia tunaona hata jinsi mitandao inavyooporate its relate with human mind,sasa tatizo linakuja hivi its true scientifically can solve question of superstation ???.
"
Your subjective mind sees without the use of the natural organs of vision.
It has the capacity of clairvoyance and clairaudience. Your subjective mind
can leave your body, travel to distant lands and bring back information of-
tentimes of the most exact and truthful character. Through your subjec-
tive mind, you can read the thoughts of others, read the contents of
sealed envelopes and closed safes. Your subjective mind has the ability to
apprehend the thoughts of others without the use of the ordinary objec-
tive means of communication. It is of the greatest importance that we un-
derstand the interaction of the objective and subjetive mind in order to learn of the prayer"
yaàni mtu apate ugonjwa wa kishetani then umtibu kwa njia ya kisayansi its that true???
leo katika harakati zangu za kujiongezea maarifa nimeshika kitabu kimoja cha jamaa anaitwa Murphy Joseph jina la kitabu power of subconscious mind ndani ya kitabu ameeleza mambo mengi ya kuihusu subconscious mind na kufanya comparison conscious mind.
Kuna mifano mingi jinsi ya subconscious mind inavyofanya kazi moja mfano alielezea kuwa kuna ndugu yake ambaye alipatwa na ugonjwa hatari ,ugonjwa ambao ulimpelekea umauti na kwa anavyoamini kuwa chanzo cha kifo ni ile hofu ya maneno ya daktari kuwa aliambiwa kuwa hatopona na huenda mwezi mmoja akafariki na hatimae jamaa before mwezi alifariki.
ingawaje ni kweli nguvu ya subconscious mind ni kubwa na inaweza kuleta mambo hasi au chanya ikiwa utafikiria hivyo kwani hata wanazengo walinena"aliwazalo mjinga ndiyo humtokea" lakini pia tunaona hata jinsi mitandao inavyooporate its relate with human mind,sasa tatizo linakuja hivi its true scientifically can solve question of superstation ???.
"
Your subjective mind sees without the use of the natural organs of vision.
It has the capacity of clairvoyance and clairaudience. Your subjective mind
can leave your body, travel to distant lands and bring back information of-
tentimes of the most exact and truthful character. Through your subjec-
tive mind, you can read the thoughts of others, read the contents of
sealed envelopes and closed safes. Your subjective mind has the ability to
apprehend the thoughts of others without the use of the ordinary objec-
tive means of communication. It is of the greatest importance that we un-
derstand the interaction of the objective and subjetive mind in order to learn of the prayer"
yaàni mtu apate ugonjwa wa kishetani then umtibu kwa njia ya kisayansi its that true???