Je, kuna ukweli kuhusu Phobia na Mental Disorders?

Je, kuna ukweli kuhusu Phobia na Mental Disorders?

Ophidiophobia ni fear ya kuwa karibu na nyoka! Hivi kuna mtu ambaye hana Ophidiophobia yaani awe nyoka wa kijani, sijui nyoka gani ila siwezi kukaa karibu na nyoka 🐍
labda wale wanaowafuga nahisi ndio hawana hyo phobia, hivi phobia zinatibika kwa psychic evaluation tu au hata vidoge huwa vipo
 
Hii ni OCD mkuu, Kila mtu ana changamoto yake ya Afya ya akili ni vile hajakutana na triggering factor, mfano wa triggering factor ni genetic kama kwenye familia Kuna mtu ana shida ya Afya ya akili tunakua more likely na Sisi kulipuka, kingine ni environmental factors mfano madawa ya kulevya, pombe e t c

Mimi la kwangu ni phobia (uoga) wa kusimama kwenye majengo marefu, ukitaka nife Kwa pressure nipeleke jengo hata la ghorofa 5 tu nitateseka sana siwezi kuangalia chini

So mkuu usijali hiyo Hali Yako Kila mmoja ana yake kikubwa jiepushe na vitu vitakavyokufanya uka run mental health problems

Kuhusu ufanyeje Hali iondoke jibu ni sio rahisi kuiondoa, jitahidi kuishi nayo kikubwa usikere wengine basi
Inaitwa height phobia hata mimi ninayo hapa kupanda juu ya bati tu siwezi
 
Atelophobia hiyo mkuu! Pole sana! Nyie ndio watu mnataka mpaka nguzo za fence ziwe kwenye mstari mnyoofu kabsa
Hata mimi niko hivo, hata nikienda kutembea kwa mtu nikikuta vitu vyake havijapangwa naviweka vizuri, napenda vitu vilivyo nyoka, kama mtu amepalilia halafu akacha hata kajani kamoja napata amani mpaka nikatoe tu
 
Bandiko zuri tamu kusoma halichoshi
Mie naogopaga kusoma magazeti ila hili nimelisoma lote

Hivi mkuu mfano mimi nachukia kuona vitu visivyo pangwa vizuri mfano nikaingia ndani nikaona vitu vimezagaa zagaa hua najisikia hasira sipendi kuona mavitu ya merundikana hovyo bila mpangilio je huo nao ni ugonjwa?

Naweza kurudi kazin nikikuta hali kama hiyo siwezi kulala bila kuweka sawa
Niliwahi kwenda ugenini nikakuta watuwa hapo wameweka vituu vimezagaa sikuwezi kuhimili kukaa kwa amani nilikua sina raha mpka nikafanya usafi kwanza ndio nikapata amani
Yaan mazingira kama hayo hua najisikia vibaya kuliko mtu anavyoweza kudhani je hii nayo ni shida?
Wewe utakuwa na jini Maimuna!
Just a Joke!
 
Mkuu nakuelewa sasa usiombe ukae na mtu asie jali mazingira utakonda kwa depression 😀😀
Wewe ni Twin
Ni balaa, maana wasiojali wapo wengi,Mimi kufagia na kudeki ni dakika sifuri tu, maana siwezi kuvumili naona vumbi kwenye kona ya chumba na mimi nipo.
Kuna kipindi nilikua taasisi fulani kozi ya mwezi mmoja sasa nikaona chupa za maji zimezagaa sana pale maana wanachukua intake ya watu kuanzia 100 hadi 300 na wanakaa mwezi mzima sasa chupa zinatupwa hovyo, ilinikera nikaamua kwenda mjini kuongea na Jamaa fulani huwa wanakusanya chupa na gari kubwa kwa ajili ya ku recycle, nikachukua namba nikamwambia nitakupigia jamaa alifurahi, bahati mbaya yule Boss wa ile taasisi nilipanga nimwambie akasafiri na mimi muda ukawa umeisha.
 
Back
Top Bottom