CharmingLady
JF-Expert Member
- Apr 16, 2012
- 18,304
- 12,997
Hahahahah! Aiseeee jf raha tupuMjukuu charminglady unantafuta nakuambia. Ndo nshasema hivyo.
Mi babu yako kabla sijamuoa bibi yenu nlikuwa nabadilisha vimwana kama mboga. Baada ya kuoa, mwanzoni niliendeleza libeneke. Kalivozaliwa kamalkia kangu Matesha nikatulia tuli na familia. Nitake tena za nini wakati nshajionea za kutosha zenye ladha mbalimbali?
Mpaka sasa babu yenu nimetulia. Labda itokee tu walah.
Kuamua kutulia hakuna uhusiano wowote na tabia za awali. Jasiri haachi asili. Mwanaume kitombi, Mungu labda amtie umaskini tu. Akiwa na mahela atawabadilisha kila siku, hata kama ana wake wanne.
Ila usisahau, mwanaume hajaumbwa kwa ajili ya mwanamke mmoja. Usije ukajidanganya mmeo ni wako peke yako. Tunatofautiana kwenye usiri na idadi ya wanawake wa nje tunaowalabua.
Sijaandika mimi, nimekopi na kupesti toka blogu flani ya Sudani ya Kusini
nitake radhi bhana kwan kuna mwanafunz hapa?
Tabia za kuendekeza huishia kuwa kama NGOZI .... inakomaa na kuzeeka na wewe mwanzo mwisho.
Kwani kuna Teja aliyewahi kufikiri ataishia kuwa alivyo sasa wakati anaanza kutejeka? (kujaribu jaribu madawa)
Kwani kuna mwizi anayeamini safari anayoenda kuiba sio ya mwisho (anasema safari ijayo huenda nitakamatwa hii moja ya mwisho) lakini anaiba mwana nenda rudi.
Walio ndani ya ndoa unafikiri wakati wanaacha njia kuu walifikiri wataishia kuwa wateja wa kudumu njia za vumbi? shits just happens
Nachotaka kusema na ambacho nimekuwa nawaambia jamaa zangu.... UTAKAVYO KUISHI KESHO ISHI SASA ILI KESHO IJENGEKE KWENYE MSINGI HUU WA LEO'' vinginevyo usipoweka msingi imara sasa, nyumba yako itayumba yumba sana kesho.
Hiyo dhana ipo sana na sio katika suala la ngono pekee bali hata katika madhambi mengine mathalani ulaji rushwa n.k.
Tulio wengi hatujui au husahau kuwa leo ni maandalizi ya kesho au kwa kifupi ufanyacho leo matokeo yake huonekana kesho.
Kwani kuwa mwanafunzi ni tusi hadi nikutake radhi?
Nimependezwa na mtazamo wako ni kweli kabisa huwezi kuacha tabia chafu baada ya kuoa/kuolewa wanasema jasiri haachi asili. Kama mtu si mwaminifu hata kipindi cha gf na bf , huyo nafsi yake ilishakufa haiwezi kufufuka wakati wa ndoa so be careful kama bf/gf anacheat.
Hapo kny nyekundu tukisema na mwanamke hajaumbwa kwaajili ya mwanaume mmoja unakubali na usijidanganye mkeo ni wako peke yako unakubali???
swali la msingi kabla sijatoa msimamo wangu kwanini hujamualika C6 ??
Wala haitaji kunialika, maana wakati mpenzi wangu mama watoto charminglady anatype mimi ndio nilikuwa namsetia vizuri keyboard na makila kitu
Mbona hujanitaja #TeamWekaPicha mwenzangu??
By the way weka picha
Sent from my Nokia Lumia using Tapatalk
hahaha sasa mbona unamjibia mkuu yeye mwenyewe yuko wapi..??Wala haitaji kunialika, maana wakati mpenzi wangu mama watoto charminglady anatype mimi ndio nilikuwa namsetia vizuri keyboard na makila kitu
8*8 ndiyo nini ? two big fat ladys....!Tena tulikuwa juu ya 8*8....
Nashukuru sana kwa ushauri wako, uko sahihi... Issue ni kwamba utamshawishije huyu mtu ambaye ameloea kwenye hiyo dhana???
Kila unapomwambia abadilike anasema atabadilika akiwa ndani ya ndoa????
Mjukuu charminglady unantafuta nakuambia. Ndo nshasema hivyo.
Mi babu yako kabla sijamuoa bibi yenu nlikuwa nabadilisha vimwana kama mboga. Baada ya kuoa, mwanzoni niliendeleza libeneke. Kalivozaliwa kamalkia kangu Matesha nikatulia tuli na familia. Nitake tena za nini wakati nshajionea za kutosha zenye ladha mbalimbali?
Mpaka sasa babu yenu nimetulia. Labda itokee tu walah.
Kuamua kutulia hakuna uhusiano wowote na tabia za awali. Jasiri haachi asili. Mwanaume kitombi, Mungu labda amtie umaskini tu. Akiwa na mahela atawabadilisha kila siku, hata kama ana wake wanne.
Ila usisahau, mwanaume hajaumbwa kwa ajili ya mwanamke mmoja. Usije ukajidanganya mmeo ni wako peke yako. Tunatofautiana kwenye usiri na idadi ya wanawake wa nje tunaowalabua.
Sijaandika mimi, nimekopi na kupesti toka blogu flani ya Sudani ya Kusini