Je kuna ukweli katika hii dhana?

Je kuna ukweli katika hii dhana?

hamna ukweli hata kidogo kwanza utaolewaje wakati ni kicheche?

As i said hii dhana hutumiwa sana na wanaume, kwa wanawake sijui kwa kweli... Sasa huyo huyo mwanaume kicheche anataka mwanamke mtulivu wakati yeye sio mtulivu how comes???
 
Hapo kny nyekundu tukisema na mwanamke hajaumbwa kwaajili ya mwanaume mmoja unakubali na usijidanganye mkeo ni wako peke yako unakubali???
Hakuna kitu kama hicho! Walahi nakuapia!!

Hivi hata mtaani kwenu huyaoni majogoo na mabeberu???
 
Habari za mchana mabibi na Mabwana,

Kuna dhana moja imeeneza miongoni mwa jamii zetu kuwa “Wacha tufanye mapenzi kiholela mpaka hapo tutakapoingia kwenye ndoa, ili tukishaingia tutulie” dhana hii husemwa sana na wanaume.

Kuna rafiki zangu kadhaa nilisikia wakisema hivyo.

Wazee mliopo humu mmewahi kusikia huu msemo na je unafanya kazi? Wale wanandoa wa sasa je mliwahi kupitia katika hali hii?

Mie nafikiri iwapo mtu atashindwa kutulia katika mahusiano ya awali (BF & GF) ndivyo hivyo atakavvyoshindwa kutulia katika ndoa.
Je kuna ukweli wowote katika hili?

Karibuni akina Babu Dark City, Babu Asprin, Mzee Mtambuzi, Ankal Kaizer, Kaka HorsePower na wadau wooooteeee!!!!

Huu msemo nauunga 100%, manake maisha ni mwendelezo wa hatua moja baada ya nyingine, ukiruka ujue lazima hata uzeeni utairudia hii stage, kwangu mimi ni bora kuwa bazazi katika age ya 20-35, kuliko kuwa bazaz katika age ya 60 years. Si mnakumbuka ya Kapuya?
 
Huu msemo nauunga 100%, manake maisha ni mwendelezo wa hatua moja baada ya nyingine, ukiruka ujue lazima hata uzeeni utairudia hii stage, kwangu mimi ni bora kuwa bazazi katika age ya 20-35, kuliko kuwa bazaz katika age ya 60 years. Si mnakumbuka ya Kapuya?

Alaaaaa kumbe!!
 
Mjukuu charminglady unantafuta nakuambia. Ndo nshasema hivyo.

Mi babu yako kabla sijamuoa bibi yenu nlikuwa nabadilisha vimwana kama mboga. Baada ya kuoa, mwanzoni niliendeleza libeneke. Kalivozaliwa kamalkia kangu Matesha nikatulia tuli na familia. Nitake tena za nini wakati nshajionea za kutosha zenye ladha mbalimbali?

Mpaka sasa babu yenu nimetulia. Labda itokee tu walah.

Kuamua kutulia hakuna uhusiano wowote na tabia za awali. Jasiri haachi asili. Mwanaume kitombi, Mungu labda amtie umaskini tu. Akiwa na mahela atawabadilisha kila siku, hata kama ana wake wanne.

Ila usisahau, mwanaume hajaumbwa kwa ajili ya mwanamke mmoja. Usije ukajidanganya mmeo ni wako peke yako. Tunatofautiana kwenye usiri na idadi ya wanawake wa nje tunaowalabua.

Sijaandika mimi, nimekopi na kupesti toka blogu flani ya Sudani ya Kusini

Mkuu umeongea ukweli mtupu ukitaka kuomkomesha mzinzi haswa kwa kipindi hichi cha digitali mnyime pesa,no money no papuchii


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Last edited by a moderator:
haya maswala yanatatiza sana siku hizi.,
 
Huu msemo nauunga 100%, manake maisha ni mwendelezo wa hatua moja baada ya nyingine, ukiruka ujue lazima hata uzeeni utairudia hii stage, kwangu mimi ni bora kuwa bazazi katika age ya 20-35, kuliko kuwa bazaz katika age ya 60 years. Si mnakumbuka ya Kapuya?

mimi nilifikiri miaka 20-35 ni miaka ya kujijenga kielimu na kiuchumi. Halafu miaka 40 na kuendelea ni miaka ya kupaa nyoka.
 
charminglady binafsi naona dhana hiyo haina ukweli wowote isipokuwa ni imani ya kujihami tu na inategemea mtu na mtu.

Nijuavyo mimi wengi wenye kuendekeza dhana hiyo wanakuwa hawajitambui, wanakuwa na msukumo(influence) wa/ya mwili ni mkubwa kuliko akili n.k

Nina marafiki wengi ambao historia zao hazikuwa nzuri na mwisho kwenye ndoa wametulia...so kwa mtazamo wangu inategemea. Kama mtu anafanya kiholela huku anajielewa na tena kwa makusudi basi huyo ana matatizo,vinginevyo ana nafasi ya kutulia baadaye kwenye ndoa.

Tabia za wakati wa U-BF/GF katika kumtambua mume/mke bora...chances remain 50/50.
 
Last edited by a moderator:
Habari za mchana mabibi na Mabwana,

Kuna dhana moja imeeneza miongoni mwa jamii zetu kuwa “Wacha tufanye mapenzi kiholela mpaka hapo tutakapoingia kwenye ndoa, ili tukishaingia tutulie” dhana hii husemwa sana na wanaume.

Kuna rafiki zangu kadhaa nilisikia wakisema hivyo.

Wazee mliopo humu mmewahi kusikia huu msemo na je unafanya kazi? Wale wanandoa wa sasa je mliwahi kupitia katika hali hii?

Mie nafikiri iwapo mtu atashindwa kutulia katika mahusiano ya awali (BF & GF) ndivyo hivyo atakavvyoshindwa kutulia katika ndoa.
Je kuna ukweli wowote katika hili?

Karibuni akina Babu Dark City, Babu Asprin, Mzee Mtambuzi, Ankal Kaizer, Kaka HorsePower na wadau wooooteeee!!!!
Hapo penye red uko sahihi.
 
mimi nilifikiri miaka 20-35 ni miaka ya kujijenga kielimu na kiuchumi. Halafu miaka 40 na kuendelea ni miaka ya kupaa nyoka.

Kama upo vizuri, under graduate ni at 23-25yrs, baada ya hapo unaingia mzigoni, elewa ndugu kuwa bazazi haina maana unahonga kila kitu na kutokuwa responsible. Unaweza ukawa baazaz ilihali ukaendesha maisha kwa uzuri ukajijenga kielimu na kiuchumi pia. dhana ya life begins at 40 ilkuwa zamani wakati life span ilipokuwa miaka 70, sasa lifa span ni 49 years. Acha kujipa majukumu yasiyo yako, ponda mali kufa kwaja atiiii!!
 
Nakubaliana na wewe 100%. Maadili yanakwenda hivyo. Discipline inatengenezwa kwa uvumilivu na mipango yenye mwelekeo.
 
Back
Top Bottom