BabaDesi
JF-Expert Member
- Jun 30, 2007
- 6,034
- 3,947
.,.na KUJIENDEKEZA tu....kwa maana ya kwamba kulithibiti hill tatizo kupo kwenye Uwezo wako!Mara nyingi ni MIDADI.
.,.na KUJIENDEKEZA tu....kwa maana ya kwamba kulithibiti hill tatizo kupo kwenye Uwezo wako!Mara nyingi ni MIDADI.
Wanakuwa wahuni tu,,hawana cha midadi wala chochote..Mara nyingi ni MIDADI.
Unaishi masaki wewe amaYaani hapa sijaelewa chochote.
Ni watu gani hao wanaojambishwa? Na wanajambishwaje?
Hata morogoro sijawahi kufika! Nipo ziwa Victoria huku.Unaishi masaki wewe ama
Hapa ndo nazidi kuwa oves kabisa!Kuna soko moja pale tandale kuna kibao cha tangazo kuhusu masharti ya soko..
--marufuku kujambisha ndani ya soko
Fine 50000/Tz sh
nilipoona lile tangazo nilicheka sn.
Inasemekana kuna kitu kinavuta kwenye mbupu kwa nguvu kama shoti fulaniKUNA MMOJA NILIONA ANAJAMBISHWA PALE TEMEKE MWISHO HADI AKAANGUKA CHINI HUKU AMEJIKUNYATA KAMA MTOTO MCHANGA.
SIJUI SHIDA NI NINI
Kkkk mkuu,,,Hapa ndo nazidi kuwa oves kabisa!
Hakuna kitu mkuu,,Inasemekana kuna kitu kinavuta kwenye mbupu kwa nguvu kama shoti fulani
Kujambishaje tena ? Sijaelewa wakuu
Yaani nimeshauliza sijapata majibu. Tangu mjadala umeanza sijaambulia kitu!Asee dunia inamengi yaani nimetoka kapa
... almost 10 years swali hili halijajibiwa? Swali la kitabibu kabisa hili; kama ndivyo hili jukwaa (JF Doctor) lifutwe tu; halina maana.Habari zenu wadau,
For sometym nimekuwa naona watu wakijua mtu anabusha basi akikatiza mitaa ile wataanza kummock dat person in different ways including kujambisha (hopefully tunajua when i say dat)..
Sikuwahi kutake serious hadi leo nilipokuwa mitaa ya Mwenge stendi pale, kuna jamaa kumbe alikuwa anabusha na wale makonda na wapiga debe waligundua hilo, so wat was sad ni kwamba jamaa was about to board the bus ndo washikaji wakajambisha and the guy akaanguka and im not very sure bt i think alivunjika mkono.
So my question to JF doctors and other great thinkers, je kuna uhusiano gani kati ya mtu mwenye busha na kujambisha?