Profesa ntare nkobe
JF-Expert Member
- Feb 5, 2018
- 6,957
- 8,073
Kwa sasa inabidi tuichukue kenya
Mbona huu uhusiano uko vizuri sana, chuo nilisoma na wazenji wasipongua 10 katika darasa moja, na wote walisomeshwa na bodi ya mikopo kwa 100%, huu muungano uko vizuri sana..Ndoto nzuri. Lakini kama tumeshindwa kutatua "kero za muungano" na visiwani kwa miaka yoooote, tukijiongezea visiwa vingine si ndio tutakuwa tumejiweka vibaya kabisa?
Kwanini unataka kuharibu mjadala ndugu?Kwa sasa inabidi tuichukue kenya
Tanzania tunauza nini kwenda Comoro? Tuanzie hapo..
Hayo ndio maoni yangu Comoro haina shida Kenya wanaukabila mauaji na upugufu wa aridhi so watakuja kutusumbua bora tuichukue KenyaKwanini unataka kuharibu mjadala ndugu?
Tanmoro, hhahahah...!duuu!! jina litakuwa refu sana halafu gumu kutamkika
Tutatue changamoto za ndoa za sasa na mwenza wetu Zanzibar kabla ya kukimbilia ''kuongeza mke''
TanzacomniaTanmoro, hhahahah...!
Duuuu..., hili gumu aisee..., labda TanzamoroTanzacomnia
Ushirikiano na wetu nje ya mipaka yetu ndio lengo kuu, kwa utaratibu kama wa visiwa vya ZenjiSioni manufaa yoyote zaidi ya kutaka national prestige. Ukiangalia ardhi yenye rutba, water bodies, coastline, madini, historia na vyanzo vya utalii na bado tu maskini si kwa GDP wala HDI.
Ningependa hizo nguvu tungewekeza katika rasilimali watu ili tuwe na productive population na kama tutahitaji faida za kiuchumi, inaweza kutumika economic diplomacy.
Wazo zuri sana hilo hata Marekani alimmeza Hawaii kwa manufaa
Ujue hawaii inazama
Utumwa wa akili huu..Kama hauifahamu nguvu ya Wafaransa basi chezea visiwa hivyo. Ile si Unguja na Pemba.