Je kuna tofauti ya Kiujuzi kati ya Mabodigadi wa PSU na hawa tunaowaona wakiwalinda Viongozi wa dini?

Mambo ya ulinzi wa viongozi wengi wetu hatujui,ila tunajaribu tu kueleza... Suala la ulinzi hasa wa Rais linakusanya vyombo vingi vya usalama wa dola,na sio tiss pekee,pia kuna scanning and detection equipment hua zinafunvwa sehemu maalum,hata ikitokea Rais msafara wake umesimamishwa hua ni planned na sio tu wanasimama kama tunavyozani!
 
Unasemea yule mweupe???
Kama huyo mweupe ni balaaaa .

Huwa wanajipa zamu mikoa kwa mikoa ,,ngosha akiwa kanda ya ziwa yule mweusi anachukua nafasi kutokana na yeye kuyajua maeneno ya huko..yule mweupe dar na sehemu zeny3we yuko vizuuri ...

Yule mweusi ni mzawà wa mwanza na ni msukuma halisiiiiiiiii....
Yap,,yule black mwenye sura ya kisela, ,yupo fit, ila ivi ni kwann Rais wa awamu hii Ana zungukwa n.a. walinzi wengi kuliko marais wote waliopita? Ni kwann aswa wakati Ngosha ni kipenzi cha watu kama tunavyoambiwa na waungwana wa Lumumba, ilitakiwa awe n.a. ulinzi wa kawaida tu hata wa ADC ungetosha tu hakuna madhara naona
 
Cha msingi si mavazi wala miwani bali ni mafunzo na kipaji.
PSU ni team iliyojaa walinzi waliopitia vyombo vya ulinzi na usalama vya ndani na kisha wengine kwenda nje kwa gharama za gvt kusomea VIP protection.
Kuhusu hawa mabodyguard wa mitume na manabii hatuwezi kwenda deep kwani anayewapanga kwenye safu ndiye anayejua siri kuu. But wengi hawajaenda nchi kama Korea au urusi kujifunza deep on VIP protection na vyuo vyetu vua ulinzi hawatoi kozi kwa watu wasio ktk sekta za gvt.
Wengi wamebe sorted kulingana na wingi wa nyama zao tu.

Nisalimie sana ' Makumbusho ' hapo Mkuu. Yule Mzee ' Jumbe ' a.k.a ' Kigulu ' bado yupo?
 
Naona unashindwa kutofautisha bodigadi na mpambe pole sana

Wewe ndiyo hujanielewa kabisa halafu ndiyo nyie huwa mnanilazimisha niwajibu hovyo humu na niwadharau kutokana na kuwa ' Wapumbavu ' halafu mnalalamika na kulaumu. Kwa kukusaidia tu Mpambe ' Kiitifaki ' huwa ni yule anayevalia Nguo za Kijeshi na ' Kitaalam ' anaitwa Aide De Camp. Hoja yangu hapa Kuu ni wale Bodyguards ambao huwa hawavai uniforms za Kijeshi na ambao pia nimewafafanisha na hawa wanaowalinda Viongozi wa Kiroho / Kidini. I never knew you're this Stupid. Siku nyingine kabla ya ' Kukurupuka ' kujibu ' threads ' za GENTAMYCINE uwe Kwanza unazisoma vizuri, kuzielewa, kuzichambua, kuzitathmini na kujiridhisha nazo ndipo ujibu.
 
Ulinzi wa rais na viongozi wengine ni siri na unahusisha majeshi....huwa halindwi na Tiss pekee
Kna mengi kabla ya hata Tiss unaowaona pale.
Utaratibu ni mrefu mpaka kiongozi wa nchi aweze kuwa eneo fulani

Majeshi....nimeeleweka sifafanui
Nazijua process zotee mkuu...
 
Ukishaingia Cobra Squad lazima uwe fit mkuu.

Ila hawa quality ya hawa mabodigadi wa viongozi wa kidini inategemea na hela ya kiongozi husika.

Kiongozi asiye na mkwanja wa kutosha huwa na wakawaida tu, hata mgambo.
 
Yap,,yule black mwenye sura ya kisela, ,yupo fit, ila ivi ni kwann Rais wa awamu hii Ana zungukwa n.a. walinzi wengi kuliko marais wote waliopita? Ni kwann aswa wakati Ngosha ni kipenzi cha watu kama tunavyoambiwa na waungwana wa Lumumba, ilitakiwa awe n.a. ulinzi wa kawaida tu hata wa ADC ungetosha tu hakuna madhara naona
Zama mkuu zimebadilika..

OVER
 
Mmmh,,,we unawajua makomandoo unawasikia,,, huwaonagi wale ktik maonyesho uwanja wa taifa,, mtu ambae yupo fit ukimuangalia tu kwa muonekano unamjua, ,, wale kaunda suti wapo fit kwenye idara ya nyingine sio ya kimapigano, pale wanaomlinda kiongozi ni wale wenye silaha Kali za kivita n.a. pia wapo fit kimapigano,
You are a professional! Jibu murua ili tu Kwanza ni pazuri
 
tofauti ipo,Bodyguard ni mtu anaye kuwa alert na surveillance ktk threat na ku avoid,kuna kitu alifanya huyu wa Rais kule singida ktk ufunguzi wa kiwanda,alinifurahisha sana.
 
yupo makini sana
tofauti ipo,Bodyguard ni mtu anaye kuwa alert na surveillance ktk threat na ku avoid,kuna kitu alifanya huyu wa Rais kule singida ktk ufunguzi wa kiwanda,alinifurahisha sana.yupo makini sana
 
Simuonagi kule ndani kwao siku hizi....sijui..
Mara ya mwisho nilikutana naye airwing. Kwenye shughuli fulani.

Ulinzi kazi
Kama hujaelewa muulize mbwa...shughuli anayokumbna nayo ucku

Sent from my LG-K350 using JamiiForums mobile app

Hayuko Air wing ( ila kama ulikutana nae tu kwa ' assignment ' maalum sawa ) bali kwa Kipindi Krefu sasa yupo Temeke kwa Mkuu wa Wilaya ile Ofisi iliyo mkabala kabisa na Uwanja wa Uhuru na Taifa na Makazi yake ni Mbagala isipokuwa kila Weekend huwezi kumkosa kwa ' Swahiba ' wake Former Spy Chief ( DEO ) Balozi Mzee Nzagi kule Masaki karibu na Peninsula.

Kila la kheri Mkuu na uwe na Majukumu yako mema hayo ya Kutulindia Taifa letu na hopefully mtadhibiti maandamano.
 
Hayuko Air wing ( ila kama ulikutana nae tu kwa ' assignment ' maalum sawa ) bali kwa Kipindi Krefu sasa yupo Temeke kwa Mkuu wa Wilaya ile Ofisi iliyo mkabala kabisa na Uwanja wa Uhuru na Taifa na Makazi yake ni Mbagala isipokuwa kila Weekend huwezi kumkosa kwa ' Swahiba ' wake Former Spy Chief ( DEO ) Balozi Mzee Nzagi kule Masaki karibu na Peninsula.

Kila la kheri Mkuu na uwe na Majukumu yako mema hayo ya Kutulindia Taifa letu na hopefully mtadhibiti maandamano.

Kumbe...ndio maana namuona mitaa ya
kwa Mzee Nyoka pale Taifa...

Nimepata uhamisho nahamia Msumbiji...so sitokuwepo hapa
Watakao kuwepo watawadhibitini tu.

Maandamao haramu...waandamanaji halali
Mwaka huu
Lazima wang'oke meno...mwenzao akila Bata Marekani
 
Kumbe...ndio maana namuona mitaa ya
kwa Mzee Nyoka pale Taifa...

Nimepata uhamisho nahamia Msumbiji...so sitokuwepo hapa
Watakao kuwepo watawadhibitini tu.

Maandamao haramu...waandamanaji halali
Mwaka huu
Lazima wang'oke meno...mwenzao akila Bata Marekani

Msumbiji si ni Ndugu zetu Mkuu? Kwanini na wao tunawafanyia Unjagu / Ujasusi hadi Wewe unapelekwa huko?
 
Back
Top Bottom