Trust None
JF-Expert Member
- Feb 12, 2018
- 1,260
- 4,415
Bila shaka kampeni za mwaka huu ni ngumu zaidi ya zile za 2015 na hata za 1995.
Jana tulishuhudia mgombea uraisi kupitia CCM akiwapigia magoti wananchi akiwaomba kura, Je, hii ni heshima kwao au maji ya shingo? Watu haohao anaowapigia magoti, ni haohao wanaoongozwa na Chama Tawala tangu uhuru. Kama hawakuleta maendeleo tangu nyakati hizo, je tatizo lipo UPINZANI au ndani ya CCM yenyewe?
Je, kuna mgombea urais wa CCM aliwahi kuwapigia magoti wananchi tofauti na huyu?
Jana tulishuhudia mgombea uraisi kupitia CCM akiwapigia magoti wananchi akiwaomba kura, Je, hii ni heshima kwao au maji ya shingo? Watu haohao anaowapigia magoti, ni haohao wanaoongozwa na Chama Tawala tangu uhuru. Kama hawakuleta maendeleo tangu nyakati hizo, je tatizo lipo UPINZANI au ndani ya CCM yenyewe?
Je, kuna mgombea urais wa CCM aliwahi kuwapigia magoti wananchi tofauti na huyu?