NAONGEZEAA.
1.Unaweza ukawa na watsap moja ambapo ukimaliza kuchat na mchepuko unamblock,delete chat mpka utakapo tafuta yeye.
2.GBwatsap unahide chat na passcode, kwenye secret vault.
3.Facebook messenger nayo ni kiboko.Mnachat,kutumiana picha,video calls na picha za uchi,Unahide kwa passcode basi kamwe hawezi ona.
4.Unakuwa na simu ndogo ambayo ina mawasiliano na michepuko yako yotee. hiyo simu haitakiwi kuonekana kamwe(acha kweny gari au ofisini).
5.Kama unatumia android smartpone ya laini 2 mpe mchepuko namba 1 ukifika home chomoa laini. Kamwe asijue namba ya pili.
6.Kuwa na upendo kwa mke wako na kamwe hakikisha unaplay low ground.UKIANZA KUSTUKIWA ZIDISHA UPENDO KWA WIFE.
7.ACHANA NA HABARI YA KUCHATI HOVYOHOVYO NA MICHEPUKO.TENGENEZA MAZOEA YA KUPIGA SIMU TU.
8.SAVE NAMBA ZA MICHEPUKO KWA VYEO KAMA UNA SIMU 1
mfano. Mtendaji,Mwenyekiti,Meneja,Mkurugenzi, OCD,
Kuna kipindi niliibiwa simu yangu na nkanunua kiswaswadu huku nasubiri end of the month ndake ingine..... nkawa natumia ya wife(smartphone) na michepuko ikawa inatuma picha na kuchat hakustukia mchezo mpka end of the month. Ni kuwa smart tu.