Natumai mnaendelea vyema na majukumu yenu.
Leo ni mara yapili naona paka wakifanya mapenzi. Nilikuwa room mapema leo nikasikia kelele za paka kwa nje, kucheck kupitia window naona paka wakifanya yao juu ya ukuta wangu.
Baada ya kumaliza paka jike akajilamba mwili mzima then akaondoka.
Mara ya kwanza Ilikuwa usiku, niliwaona paka wawili wakifanya yao karibia na barabara nikawapiga full light lakini hawakuachiana, walijisogeza taratibu wakaingia kwa kichaka while dushe bado lipo ndani mwa paka jike.
Je, kuna tafsiri au maono yoyote juu ya hili katika maisha yangu halisi?
Aione: Mshana Jr
Leo ni mara yapili naona paka wakifanya mapenzi. Nilikuwa room mapema leo nikasikia kelele za paka kwa nje, kucheck kupitia window naona paka wakifanya yao juu ya ukuta wangu.
Baada ya kumaliza paka jike akajilamba mwili mzima then akaondoka.
Mara ya kwanza Ilikuwa usiku, niliwaona paka wawili wakifanya yao karibia na barabara nikawapiga full light lakini hawakuachiana, walijisogeza taratibu wakaingia kwa kichaka while dushe bado lipo ndani mwa paka jike.
Je, kuna tafsiri au maono yoyote juu ya hili katika maisha yangu halisi?
Aione: Mshana Jr