swahiba Senior
JF-Expert Member
- Nov 12, 2016
- 2,479
- 3,613
- Thread starter
- #21
Bila shaka itakuwa kwenye top 5 maana siyo kwa povu hili aiseeDuuu...Mkuu mbona umehamaki vile, uko namba ngapi kwenye orodha?
Bila shaka itakuwa kwenye top 5 maana siyo kwa povu hili aiseeDuuu...Mkuu mbona umehamaki vile, uko namba ngapi kwenye orodha?
SALAM KWENU NDG WANA JAMVI HBR ZA WEEKEND NA POLE KWA MAJUKUMU.
Kwanza niende moja kwa moja kwenye swali langu Nimeshuhudia viongozi mbalimbali wakiwemo marais kuandaliwa hotuba au kuandaa wao wenyewe mambo ya msingi waliyoyapanga kuyawasilisha ktk Hadhira na kuyaandika ktk Karatas au vifaa vya kisasa kama IPad hivyo Kiongozi huwa Anasoma pale na kukazia hicho alichokikusudia, Lakini wapo Baadhi ya viongozi Akiwemo mkuu wetu wa nchi nimemfuatilia Mara nyingi hotuba yake unakuta haijaandikwa mahali popote Huzungumza mwanzo hadi mwisho kutoka kichwani.Sasa watalam wa mambo haya ya hotuba na mambo mengine tujuzane Je!!
Kuna faida gani ya Aina hii ya hotuba Isiyoandikwa mahali? na Hasara za Aina hii ya Hotuba ya kichwani ni Zipi??
KARIBUNI SANA
Great thinker hawezi kuwa wa dizaini hiiGreat thinker? No please
Great sinkerGreat thinker hawezi kuwa wa dizaini hii
Na HAWA ma great sinker humu wamo wengi sanaGreat sinker
!
!
hakuna madhara kama kiongozi huyo ana Brains
mfano ni Brain IPI yenye uwezo wa kutunza na kukumbuka kipi sijakizungumza ktk hotuba zote za kiongozi wa nchi kwa mfano kwa Muda wa miaka 10????!
!
hakuna madhara kama kiongozi huyo ana Brains
Basi kuna ttzo kubwa siyo kama tunavyolichukulia kwa upande wa mkuu wetu wa kaya anapaswa kubadilikaHasara mojawapo ni kuumiza hisia za watu wengine kwa maneno makali na kuzorotesha mahusiano ya ndani na utangamano wa kimataifa.
umeeleza vizuri Lakini sasa kwa mkuu wangu habagui aina ya speech ile ni Policy au political vyote ni kutoa kichwani hilo ni ttzoInategemea uwezo wa kiongozi, na aina ya hotuba (Speech). Kama ni Policy Speech ni vizuri akasoma, lakini kama ni Political Speech anaweza Kutoa kichwani.
Viongozi kama Nyerere, Jakaya, Makamba SR,wanauwezo mkubwa wa kuongea bila kusoma.
Aiseee umeeleweka vzr sana kumbe mkuu wetu anapaswa kujua hafanyi freestyle ni Kuhusu maisha ya watuFaida yake unaweza kuimba free style maana freestyle huandiki mahali,
Hasara yake unaweza kuongea utumbo wasikilizaji wakakuacha na mic..
Kwa mwenye timamu kati hili swali lako na LA kwangu lipi LA KipuuziWewe ulitaka atoe kutoka wapi???
Maswali mengine ni ya kipuuzi
matako umesema wewe na Mimi sijakataa kuwa hakuna viongozi wanaotoa hotuba kichwani Swali lilikuwa jepesi tu Tujadili hapa Yapi madhara ya aina hii ya speech?? Na faida zake ni zipi?? Mbona kama umepanic au uko kwenye list??Mbona viongozi wengi tu duniani wanatoa hutuba kichani bila kusoma, au ulitaka watumie matako kutoa hotuba
haya ndo mawazo na uchambuzi wa great thinker nimekuelewa mkuuHotuba itokayo kichwani bila kusoma ina faida na hasara kwa kutegemea mtoa hotuba mwenyewe.
FAIDA.
-kuwa huru na unachosema bila mipaka, mifano, vinogesho n. k.
-muongeaji akiwa mahiri hachoshi hadhira
-hutoa fursa ya mwili (body language) kwenda na hotuba
-mtoa hotuba huwa ni kama "anaongea na familia yake" kwa urafiki na bashasha tele
HASARA
-muongeaji kuhama mada kila muda na kuwafanya watu /hadhira kuwa na kazi ya ziada kuutafuta mtiririko au dhumuni
-Lugha itakuwa si rafiki sana kwa wote (mzungumzaji anakuwa huru kuchanganya lugha au misemo)
-utunzaji wake kiofisi utahitaji uchambuzi na uboreshaji utakaoendana na hitaji
-kutokana na kuhama lugha moja hadi nyingine baadhi ya wasikilizaji kutoelewa lugha fulani. Hivyo ujumbe kutofika kwa wakati
Hivyo ni baadhi tu ya mambo ambayo nimeyabaini.
Duh! Hahahahaaa. Hapo siyo anakuwa anatoa minyambo!?Mbona viongozi wengi tu duniani wanatoa hutuba kichani bila kusoma, au ulitaka watumie matako kutoa hotuba
HUTUBA Ndo niniMbona viongozi wengi tu duniani wanatoa hutuba kichani bila kusoma, au ulitaka watumie matako kutoa hotuba
Kweli mkuuDuh! Hahahahaaa. Hapo siyo anakuwa anatoa minyambo!?