Je, kuna madhara gani kiongozi kutoa hotuba kichwani?

swahiba Senior

JF-Expert Member
Nov 12, 2016
2,477
3,611
SALAM KWENU NDG WANA JAMVI HBR ZA WEEKEND NA POLE KWA MAJUKUMU.

Kwanza niende moja kwa moja kwenye swali langu Nimeshuhudia viongozi mbalimbali wakiwemo marais kuandaliwa hotuba au kuandaa wao wenyewe mambo ya msingi waliyoyapanga kuyawasilisha ktk Hadhira na kuyaandika ktk Karatas au vifaa vya kisasa kama IPad hivyo Kiongozi huwa Anasoma pale na kukazia hicho alichokikusudia, Lakini wapo Baadhi ya viongozi Akiwemo mkuu wetu wa nchi nimemfuatilia Mara nyingi hotuba yake unakuta haijaandikwa mahali popote Huzungumza mwanzo hadi mwisho kutoka kichwani.Sasa watalam wa mambo haya ya hotuba na mambo mengine tujuzane Je!!

Kuna faida gani ya Aina hii ya hotuba Isiyoandikwa mahali? na Hasara za Aina hii ya Hotuba ya kichwani ni Zipi??

KARIBUNI SANA
 
SALAM KWENU NDG WANA JAMVI HBR ZA WEEKEND NA POLE KWA MAJUKUMU.

Kwanza niende moja kwa moja kwenye swali langu Nimeshuhudia viongozi mbalimbali wakiwemo marais kuandaliwa hotuba au kuandaa wao wenyewe mambo ya msingi waliyoyapanga kuyawasilisha ktk Hadhira na kuyaandika ktk Karatas au vifaa vya kisasa kama IPad hivyo Kiongozi huwa Anasoma pale na kukazia hicho alichokikusudia, Lakini wapo Baadhi ya viongozi Akiwemo mkuu wetu wa nchi nimemfuatilia Mara nyingi hotuba yake unakuta haijaandikwa mahali popote Huzungumza mwanzo hadi mwisho kutoka kichwani.Sasa watalam wa mambo haya ya hotuba na mambo mengine tujuzane Je!! Kuna faida gani ya Aina hii ya hotuba Isiyoandikwa mahali? na Hasara za Aina hii ya Hotuba ya kichwani ni Zipi??

KARIBUNI SANA
Ni sawa na mwalimu bila andalio la somo
 
Kutongoza tu ndio kunaruhusiwa bila kusoma the rest you've to get prepared ili usituletee mambo ya kisukuma, mniombee
 
MKWEPA KODpost: 20913830 said:
Faida yake watu wanakujua vizuri tabia zako za ndani, kwa mfano ukisema tetemeko halikuletwa na ccm kila mtu achape kazi hakuna msaada wowote kutoka serikalini
hizo ni faida nini hasara zake
 
Faida yake unaweza kuimba free style maana freestyle huandiki mahali,

Hasara yake unaweza kuongea utumbo wasikilizaji wakakuacha na mic..
 
Inategemea uwezo wa kiongozi, na aina ya hotuba (Speech). Kama ni Policy Speech ni vizuri akasoma, lakini kama ni Political Speech anaweza Kutoa kichwani.
Viongozi kama Nyerere, Jakaya, Makamba SR,wanauwezo mkubwa wa kuongea bila kusoma.
 
Kutongoza tu ndio kunaruhusiwa bila kusoma the rest you've to get prepared ili usituletee mambo ya kisukuma, mniombee
Umenichekesha sana kwa Hiyo nje ya mitongozo mambo ya hotuba ya kichwani ni Hatari???
 
Unafikiri kati ya swali langu na hili LA kwako kwa wenye Akili timamu Swali LA kipuuzi li lipi???
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom